Godbless Lema: Nimeambiwa na Mungu

Godbless Lema: Nimeambiwa na Mungu

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,917
Mh Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akihutubia kwenye mkutano wa hadhara kata ya Elerai.

Mh Lema alianza kwa kusema meya na madiwani wa jiji wataendelea na shughuli za kuimarisha upatikanaji wa huduma za jamii kama hospitali, shule, maji na mikopo kwa wnawake na vijana.

Aliendelea kusema kuwa huduma za jamii sio hisani ni haki ya binaadamu hivyo watu wa Arusha msidhani tunapoboresha miundombinu, maji, huduma za afya n.k ni kwaajili ya kampeni in wajibu wetu kufanya hivyo. Wananchi haya tunayoyafanya sio hisani ni wajibu wetu kwenu, alisema Mh Lema.

Hatahivyo mh Lema alisisitiza kazi kubwa iliyombele yake ni kusababisha wananchi kuwa jasiri kudai haki yao na kutoonewa wala kudhalilishwa utu wao. Ungeniuliza mimi nini nafanya kwa sasa, ningesema kubwa ni kusababisha wananchi wangu kudai haki yao na kulinda utu wao na madiwani wangu fanyehivyo pia alisema mh Lema

Pia amewaagiza madiwani kuendelea kuwajenga wananchi kujua haki zao na kulinda utu wao kwa garama yeyote. Ndugu wananchi kwasasa mambo ni kupangua hoja papo kwa hapo (tit for tat) madiwani msidhalilishwe mkaogopa kukemea uovu kwasababu eti ni mheshimiwa na utaonekanaje, sema kweli alisisitiza mh Lema

Katika kuhitimisha mh Mbunge alishangazwa na ukimya wa viongozi wadini katika mambo yanayoendelea nchini mfano kuzuiwa kwa mikutano ya hadhara, maaskofu, masheikh msisubiri maafa yatokee ndio mkemee uovu, leo wanaona kukatazwa mikutano ya hadhara ni ya wanasiasa, lakini iko siku viongozi wadini watatakiwa kwenda kueleza wanaenda kuhubiri nini madhabahuni nadhani hapo ndipo watutuelewa alisema mh Lema
IMG-20161022-WA0000.jpeg
 
Viongozi wa dini au wazee wa madili,viongozi wa dini wanaogopa kufa huku wakifundisha kwenye ibada kuwa kila mtu ajenge urafiki na kifo kwasabbu kufa ni muda wowote,lakini wao wanaogopa kukemea jinamizi ccm kwa udhulumati kisa wanaogopa kufungwa,kukejeliwa na kufa,matokeo yake nchi iko shaghalabaghala,Mzee wa Chato katosa Katiba wako kimya!
 
Mh Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akihutubia kwenye mkutano wa hadhara kata ya Elerai.

Mh Lema alianza kwa kusema meya na madiwani wa jiji wataendelea na shughuli za kuimarisha upatikanaji wa huduma za jamii kama hospitali, shule, maji na mikopo kwa wnawake na vijana.

Aliendelea kusema kuwa huduma za jamii sio hisani ni haki ya binaadamu hivyo watu wa Arusha msidhani tunapoboresha miundombinu, maji, huduma za afya n.k ni kwaajili ya kampeni in wajibu wetu kufanya hivyo. Wananchi haya tunayoyafanya sio hisani ni wajibu wetu kwenu, alisema Mh Lema.

Hatahivyo mh Lema alisisitiza kazi kubwa iliyombele yake ni kusababisha wananchi kuwa jasiri kudai haki yao na kutoonewa wala kudhalilishwa utu wao. Ungeniuliza mimi nini nafanya kwa sasa, ningesema kubwa ni kusababisha wananchi wangu kudai haki yao na kulinda utu wao na madiwani wangu fanyehivyo pia alisema mh Lema

Pia amewaagiza madiwani kuendelea kuwajenga wananchi kujua haki zao na kulinda utu wao kwa garama yeyote. Ndugu wananchi kwasasa mambo ni kupangua hoja papo kwa hapo (tit for tat) madiwani msidhalilishwe mkaogopa kukemea uovu kwasababu eti ni mheshimiwa na utaonekanaje, sema kweli alisisitiza mh Lema

Katika kuhitimisha mh Mbunge alishangazwa na ukimya wa viongozi wadini katika mambo yanayoendelea nchini mfano kuzuiwa kwa mikutano ya hadhara, maaskofu, masheikh msisubiri maafa yatokee ndio mkemee uovu, leo wanaona kukatazwa mikutano ya hadhara ni ya wanasiasa, lakini iko siku viongozi wadini watatakiwa kwenda kueleza wanaenda kuhubiri nini madhabahuni nadhani hapo ndipo watutuelewa alisema mh Lema
wapi aliambiwa na mungu?kuna siku na yeye atasema ametoka mbinguni
 
Mh Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akihutubia kwenye mkutano wa hadhara kata ya Elerai.

Mh Lema alianza kwa kusema meya na madiwani wa jiji wataendelea na shughuli za kuimarisha upatikanaji wa huduma za jamii kama hospitali, shule, maji na mikopo kwa wnawake na vijana.

Aliendelea kusema kuwa huduma za jamii sio hisani ni haki ya binaadamu hivyo watu wa Arusha msidhani tunapoboresha miundombinu, maji, huduma za afya n.k ni kwaajili ya kampeni in wajibu wetu kufanya hivyo. Wananchi haya tunayoyafanya sio hisani ni wajibu wetu kwenu, alisema Mh Lema.

Hatahivyo mh Lema alisisitiza kazi kubwa iliyombele yake ni kusababisha wananchi kuwa jasiri kudai haki yao na kutoonewa wala kudhalilishwa utu wao. Ungeniuliza mimi nini nafanya kwa sasa, ningesema kubwa ni kusababisha wananchi wangu kudai haki yao na kulinda utu wao na madiwani wangu fanyehivyo pia alisema mh Lema

Pia amewaagiza madiwani kuendelea kuwajenga wananchi kujua haki zao na kulinda utu wao kwa garama yeyote. Ndugu wananchi kwasasa mambo ni kupangua hoja papo kwa hapo (tit for tat) madiwani msidhalilishwe mkaogopa kukemea uovu kwasababu eti ni mheshimiwa na utaonekanaje, sema kweli alisisitiza mh Lema

Katika kuhitimisha mh Mbunge alishangazwa na ukimya wa viongozi wadini katika mambo yanayoendelea nchini mfano kuzuiwa kwa mikutano ya hadhara, maaskofu, masheikh msisubiri maafa yatokee ndio mkemee uovu, leo wanaona kukatazwa mikutano ya hadhara ni ya wanasiasa, lakini iko siku viongozi wadini watatakiwa kwenda kueleza wanaenda kuhubiri nini madhabahuni nadhani hapo ndipo watutuelewa alisema mh Lema
Mtu mwenye historia ya kuchukua viisyo vyake kwa nguvu, hasa vifaa vya moto, anapoanza kuongea na Mung bila kutubu hadharani , ujue ndo wakati wa kuchunga mzigo wako!!!
 
inichome nini sasa, kama kweli ni mtu wa Mungu ya nini kupayuka hadharani kisa hujatajwa kwenye orodha ya wafanikishaji wa mradi? lip anahofia kama yeye ni mtu wa Mungu
....
.....duwa la kuku
 
Mh Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akihutubia kwenye mkutano wa hadhara kata ya Elerai.

Mh Lema alianza kwa kusema meya na madiwani wa jiji wataendelea na shughuli za kuimarisha upatikanaji wa huduma za jamii kama hospitali, shule, maji na mikopo kwa wnawake na vijana.

Aliendelea kusema kuwa huduma za jamii sio hisani ni haki ya binaadamu hivyo watu wa Arusha msidhani tunapoboresha miundombinu, maji, huduma za afya n.k ni kwaajili ya kampeni in wajibu wetu kufanya hivyo. Wananchi haya tunayoyafanya sio hisani ni wajibu wetu kwenu, alisema Mh Lema.

Hatahivyo mh Lema alisisitiza kazi kubwa iliyombele yake ni kusababisha wananchi kuwa jasiri kudai haki yao na kutoonewa wala kudhalilishwa utu wao. Ungeniuliza mimi nini nafanya kwa sasa, ningesema kubwa ni kusababisha wananchi wangu kudai haki yao na kulinda utu wao na madiwani wangu fanyehivyo pia alisema mh Lema

Pia amewaagiza madiwani kuendelea kuwajenga wananchi kujua haki zao na kulinda utu wao kwa garama yeyote. Ndugu wananchi kwasasa mambo ni kupangua hoja papo kwa hapo (tit for tat) madiwani msidhalilishwe mkaogopa kukemea uovu kwasababu eti ni mheshimiwa na utaonekanaje, sema kweli alisisitiza mh Lema

Katika kuhitimisha mh Mbunge alishangazwa na ukimya wa viongozi wadini katika mambo yanayoendelea nchini mfano kuzuiwa kwa mikutano ya hadhara, maaskofu, masheikh msisubiri maafa yatokee ndio mkemee uovu, leo wanaona kukatazwa mikutano ya hadhara ni ya wanasiasa, lakini iko siku viongozi wadini watatakiwa kwenda kueleza wanaenda kuhubiri nini madhabahuni nadhani hapo ndipo watutuelewa alisema mh Lema
Lema dini waachie wengine wewe usihubiri kabisa kwasababu ulishatuambia Mungu kakueleza ni ruksa kumzomea Lowasa baadae ukasahau uliagizwa na Mungu ukatuambia Lowasa ni malaika sasa hivi watakao kuelewa ni wale vipofu , hawa wakazi wapo wenye nguo ya rangi ya kijani ama wale wenye magwanda ya khaki sisi tusio amini watu kama ninyi hatutakuelewa hata kidogo.....
 
Back
Top Bottom