Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Mh Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akihutubia kwenye mkutano wa hadhara kata ya Elerai.
Mh Lema alianza kwa kusema meya na madiwani wa jiji wataendelea na shughuli za kuimarisha upatikanaji wa huduma za jamii kama hospitali, shule, maji na mikopo kwa wnawake na vijana.
Aliendelea kusema kuwa huduma za jamii sio hisani ni haki ya binaadamu hivyo watu wa Arusha msidhani tunapoboresha miundombinu, maji, huduma za afya n.k ni kwaajili ya kampeni in wajibu wetu kufanya hivyo. Wananchi haya tunayoyafanya sio hisani ni wajibu wetu kwenu, alisema Mh Lema.
Hatahivyo mh Lema alisisitiza kazi kubwa iliyombele yake ni kusababisha wananchi kuwa jasiri kudai haki yao na kutoonewa wala kudhalilishwa utu wao. Ungeniuliza mimi nini nafanya kwa sasa, ningesema kubwa ni kusababisha wananchi wangu kudai haki yao na kulinda utu wao na madiwani wangu fanyehivyo pia alisema mh Lema
Pia amewaagiza madiwani kuendelea kuwajenga wananchi kujua haki zao na kulinda utu wao kwa garama yeyote. Ndugu wananchi kwasasa mambo ni kupangua hoja papo kwa hapo (tit for tat) madiwani msidhalilishwe mkaogopa kukemea uovu kwasababu eti ni mheshimiwa na utaonekanaje, sema kweli alisisitiza mh Lema
Katika kuhitimisha mh Mbunge alishangazwa na ukimya wa viongozi wadini katika mambo yanayoendelea nchini mfano kuzuiwa kwa mikutano ya hadhara, maaskofu, masheikh msisubiri maafa yatokee ndio mkemee uovu, leo wanaona kukatazwa mikutano ya hadhara ni ya wanasiasa, lakini iko siku viongozi wadini watatakiwa kwenda kueleza wanaenda kuhubiri nini madhabahuni nadhani hapo ndipo watutuelewa alisema mh Lema
Mh Lema alianza kwa kusema meya na madiwani wa jiji wataendelea na shughuli za kuimarisha upatikanaji wa huduma za jamii kama hospitali, shule, maji na mikopo kwa wnawake na vijana.
Aliendelea kusema kuwa huduma za jamii sio hisani ni haki ya binaadamu hivyo watu wa Arusha msidhani tunapoboresha miundombinu, maji, huduma za afya n.k ni kwaajili ya kampeni in wajibu wetu kufanya hivyo. Wananchi haya tunayoyafanya sio hisani ni wajibu wetu kwenu, alisema Mh Lema.
Hatahivyo mh Lema alisisitiza kazi kubwa iliyombele yake ni kusababisha wananchi kuwa jasiri kudai haki yao na kutoonewa wala kudhalilishwa utu wao. Ungeniuliza mimi nini nafanya kwa sasa, ningesema kubwa ni kusababisha wananchi wangu kudai haki yao na kulinda utu wao na madiwani wangu fanyehivyo pia alisema mh Lema
Pia amewaagiza madiwani kuendelea kuwajenga wananchi kujua haki zao na kulinda utu wao kwa garama yeyote. Ndugu wananchi kwasasa mambo ni kupangua hoja papo kwa hapo (tit for tat) madiwani msidhalilishwe mkaogopa kukemea uovu kwasababu eti ni mheshimiwa na utaonekanaje, sema kweli alisisitiza mh Lema
Katika kuhitimisha mh Mbunge alishangazwa na ukimya wa viongozi wadini katika mambo yanayoendelea nchini mfano kuzuiwa kwa mikutano ya hadhara, maaskofu, masheikh msisubiri maafa yatokee ndio mkemee uovu, leo wanaona kukatazwa mikutano ya hadhara ni ya wanasiasa, lakini iko siku viongozi wadini watatakiwa kwenda kueleza wanaenda kuhubiri nini madhabahuni nadhani hapo ndipo watutuelewa alisema mh Lema