Wanazuoni wengi wanamlinganisha na Mitume , huku wengine wakimuweka kundi moja na Wapigania uhuru maarufu wa kiafrica kama Nelson Mandela , Kwame Nkrumah na Mwl Nyerere .Anaandika Edo Kumwembe
......Godbless Lema ndiye Mbunge maarufu zaidi kwa sasa nchini ingawa hayupo bungeni.....Inahitaji akili kuucheza mchezo wa siasa.......
Kama kunyea debe ndio alikuwa anatafuta umaarufu, sawa.Anaandika Edo Kumwembe
......Godbless Lema ndiye Mbunge maarufu zaidi kwa sasa nchini ingawa hayupo bungeni.....Inahitaji akili kuucheza mchezo wa siasa.......
Acha kumfananisha Mandele na vitu vya kijinga!Na sio hivyo tu,bali ipo siku ataibuka shujaa na kila mtu atam-admire na atakuwa gumzo.
Hata Mandela alipita njia hizi hizi kabla dunia nzima haijamkubali na kumtambua.
Kama vipi kajitundike.Acha kumfananisha Mandele na vitu vya kijinga!
Acheni kumfananisha Mandela, Nyerere, Nkrumah na vitu vya kijinga!Wanazuoni wengi wanamlinganisha na Mitume , huku wengine wakimuweka kundi moja na Wapigania uhuru maarufu wa kiafrica kama Nelson Mandela , Kwame Nkrumah na Mwl Nyerere .
Nijitundike kwa sababu ya criminal! Hebu toka hukoo!Kama vipi kajitundike.
Kwani hao walianzaje?Acheni kumfananisha Mandela, Nyerere, Nkrumah na vitu vya kijinga!
Criminals ni hao wanaogawana hongo za mamilioni.Nijitundike kwa sababu ya criminal! Hebu toka hukoo!
Wananchi wa Arusha mjini wako mbioni kupeleka serikalini makubaliano yao ya kutotaka uchaguzi wa mbunge kwenye jimbo lao , baada ya kumteua Mh Godbless Lema kuwa mbunge wa milele .Lema kamanda wa A town ambaye hana mpinzani
Hata Mandela kuna wasaliti kama wewe walimpuuza .Acheni kumfananisha Mandela, Nyerere, Nkrumah na vitu vya kijinga!
Hayo ni maneno ambayo nyumbu wakimezeshwa na Mr makengeza, huwa wanayameza mazimamazima bila hata kuchunguza au kuchambua, apeleke ushahidi takukuru, sio kupiga blah blah na kubaki mnaishi kwa matukio, by the way,mmeshamuuliza hesabu za matumizi ya ruzuku?Criminals ni hao wanaogawana hongo za mamilioni.
Criminal? Sijakuelewa!! Hivi Mfalme Herode alivyoota ndoto na kuwasimulia watumishi wake, ilikuwa criminal? Na je Yusuph alivyoisimulia ile ndoto ilikuwa Criminal, wewe kajipange uje na hoja sio vihoja. Cku zote Mungu akitaka kuuangusha ufalme anaufitinisha, weka akiba maneno yangu. ( Wazungu sana msemo wao Power no permanent).Nijitundike kwa sababu ya criminal! Hebu toka hukoo!
Mwizi wa magari hawezi kufanana na Mandela hata kama mtakesha mkidhikiri uchi.Hata Mandela kuna wasaliti kama wewe walimpuuza .