Mkuu Lema si msomi wala tajiri ila ni kijana mwenye utashi na ushawishi wa hali ya juu wa kisiasa na tena mwenye committment kuwatumikia wabongo . Wasomi katika Bunge letu ni pamoja na Chenge, Lowasa, Rostam, na wengine wengi wakiongozwa na mkuu wa kaya Dr, Dr, Dr, Dr,. Wanatumia elimu zao kuponda mali kufa kwaja bila kuwahurumia waongozwa