Godbless Lema lazima ashinde Arusha

Godbless Lema lazima ashinde Arusha

Skillionare

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
1,190
Reaction score
528
kuna propaganda za kitoto zinazoendeshwa na wanaccm ambao wengi hawaijui Arusha na hili ni tatizo la ccm kuwa kutokuwa takwimu sahihi huu uchaguzi LEMA aliumaliza kwenye Daftari La kujiandikisha na ni ngumu mno ccm kushinda hapa jikiteni kwenye siasa za majimbo mengine hapa ARUSHA CHADEMA WATASHINDA TENA KWAKISHINDO KIKUBWA.
 
Mkuu acha waendelee na propaganda zao ,Arusha hawaijui
Hiyo sio kitu ya kuuliza Lema ni Mbunge watake wasitake
 
Tegemeo la lema ilikuwa ni lowassa na amepigwa chini..
 
Watu wa Arusha wanahitaji maendeleo na si maandamano
 
Lema jamani apigwe chini maana hamna tena Usalama na biashara Arusha
 
kuna propaganda za kitoto zinazoendeshwa na wanaccm ambao wengi hawaijui Arusha na hili ni tatizo la ccm kuwa kutokuwa takwimu sahihi huu uchaguzi LEMA aliumaliza kwenye Daftari La kujiandikisha na ni ngumu mno ccm kushinda hapa jikiteni kwenye siasa za majimbo mengine hapa ARUSHA CHADEMA WATASHINDA TENA KWAKISHINDO KIKUBWA.

Habari ndio hiyo
 
Lema si tu kwamba atashinda bali atavunja rekodi ya ushindi katika nchi hii .
 
%QUOTE=kamwache;14713555]Mollel akishinda nakurushia 200,000 kwa aitel money[/QUOTE]


Arusha ni wapinzani asilimia tisini..LEMA atashinda kwa kishindo
 
Ni vigumu sana watu wa Arusha mjini kuikubali CCM...Kampeni za CCM zinajaa watu ila linavyokuja swala la kupiga kura ndio utaona walivyo hawa watu. Rejea kampeni za JPM uwanja wa Sheikh Abeid Karume na matokeo ya uchaguzi utapata picha na kuelewa ninachomaanisha.
 
Arusha ni kikwazo chenyewe kimaendeleo kuendelea mruhusu Lema..
 
Back
Top Bottom