Godbless Lema kuiteka Dodoma leo

Polisi mkoani dodoma wamezuia mapokezi na mktano wa mbunge wa Arusha mjini mh. Godbless Lema, sasa kuingia kimya kimya..

.....

kwani wewe ulikuwa unategemea nini zaidi ya kuzuia mapokezi na mkutano chezea polisi wa CCM wewe.
 
Lema hawezi kuiteka Dodoma, sema Lema kufanya mkutano Dodoma.

......

Tatizo lako unachangia thread ukiwa na stress za mtwara.Halafu sio kila post lazima uchangie. Nyingine unaweza zikaushia pia.
 
Kazi ipo,ccm wapo tayari kupingana na nguvu ya umma kwa kutumia vyombo vya dola. Kila lililo la heri wana dom!
 
Polisi mkoani dodoma wamezuia mapokezi na mktano wa mbunge wa Arusha mjini mh. Godbless Lema, sasa kuingia kimya kimya..

Yamekuwa hayo tena wamesema sababu ni nini hasa?
 
Kwanini, mbona Mandela tulimpokea kwa maandamano.

Na Clinton kule Arusha mpaka barabara za lami zilipigwa deki lkn maandamano ya wazalendo yanasababisha usumbufu kwa watumiaji wengine. Wanajisumbua tu ni vigumu sana kumzuia mtu kukipenda akipendacho.
 
Viva Lema viva vava, Aluta Continunue, mapambano bado yanaendelea.
 


Namkubali sana kijana Lema hasa kwa kuwa na ujasiri wa hali ya juu aiyeogopa mtu yeyote!!!
 
Watu wengine bwana sijui ni wivu au nini ukweli ndio huo nyota inangaa kubali yaishe
 
Lema hawezi kuiteka Dodoma, sema Lema kufanya mkutano Dodoma.
​mtasema saana lakini uongo na ukweli havikai sehemu moja poleni na mambo yenu ya utapeli wa mtwara
 
kitu cha kuangalia kwa makini ni vitu vyenye ncha kali kutoka kwa magamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…