Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,517
- 1,043
Angekuwa kaziliwa kwenye ukoo wetu lema angebadilishwa na tikiti maji..!!!!
Lema tangu afanyiwe kitu mbaya mini kabaang hadi akaamua kuonyesha picha kwenye mkutano ameharibikiwa ubongo kabisa
Ila Mkuu wale watu walimkosea sana LEMA, Hawakupaswa kumfanyia kile kitendo cha kihuni vile, labda kwa sababu alipenda mwenyewe!
lema kafanya nini? leo ndiyo kamkumbuka kikwete? lema jipange wana arusha hatukupendi kabisa.
Lema tangu afanyiwe kitu mbaya mini kabaang hadi akaamua kuonyesha picha kwenye mkutano ameharibikiwa ubongo kabisa
hivi wewe huyo lema sasa hivi anaishi wapi. Wangekuwa kweli walitaka kumuua sasa hivi wanashindwa nini kufanya hivyo. Tuache kujitoa akili kwa mambo yaliyo wazi jamanii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Unafurahia watanzania wenzio wanaendelea kufa kwa sababu za siasa za kitoto za LEMA?
Arusha imeharibika kwa sababu ya teja l.em
Kweli kabisa mkuu................ manake leo ukienda mbeya, ukienda mtwara, rukwa, bukoba jina la Lema ni zaidi ya Jk ambaye watanzania wanaamini ni konda wa ndege
wewe kama Mwana Arusha umefanya nini? wacha ulumumba mkiambiwa mikutano yachadema mnaweka kichwa juju juzuia lakini linapokuja swala muhimi mnatoa kauli za ajabu ajabu acheni kutoa majibu marahisi kwanye maswali mazito
Kwani yeye kama Lema amesaidia vipi
poleni sana wana Arusha hayo matukio si vizuri kufurahia: Ila mjui kuwa wafuasi wenu wanapenda vurugu sasa mkae mjua mnazalisha matatizo kwa mfano mtoto mtukutu ndani ya nyumba ujue unazalisha ujambazi
Acha kujiondoa ufahamu mkuu. Kikwete ndiye mwenye dola. Unatakiwa ujiulize usalama wa taifa wanafanya nini? mabomu yanaingiaje nchini hayajaonekana? Au usalama wa taifa wapo busy na chadema?