Daaah, Pole zake nyingi sana Kamanda wetu
Hizi ajali mbona zimemuandama sana Kamanda Lema? Nakumbuka hii ni ya pili baada ya ile ya kule Kahama. Bora isiwe ni masuala ya Kisiasa maana hawa wenzetu hawaishi uharamia.!
Ashukuliwe Muumba kwa kimuepusha na balaa hili.
BACK TANGANYIKA