Godbless Lema aonya utamaduni wa viongozi kusema uongo

Godbless Lema aonya utamaduni wa viongozi kusema uongo

Bagamoyo

Platinum Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
30,012
Reaction score
34,148
14 November 2025

Utamaduni huu wa viongozi wa CCM na serikali yao waliopo ngazi za juu katika dola kusema uongo ni hatari kwa mustakhabali wa ustawi wa nchi


View: https://m.youtube.com/watch?v=KS3WRfk9yqw

Godbless Lema anaongeza uongo huo unakwenda hata katika masuala ya kiuovu ya kufanya ukatili dhidi ya raia uzoeleke kwa kutumia uongo ...

Huku ni kujenga kizazi cha taifa kuzoea kusema uongo baada ya kutenda ukatili dhidi ya binadamu, haki ya kuishi, matumizi bora ya maliasili, mgawanyo wa keki ya taifa, kufaulu mitihani ya chuo n.k
 
Samia anasema uwongo.
Mwigulu anasema ulongo.

Serikali hii haramu haitakiwi
....
Raia wa kutoka nje waachiwe warudi kwa familia zao.. pathetic hii inachanganya kidogo
 
Sasa kama mpaka kwenye kuiba kura mtu anasema uongo! Ataaminiwa kwenye lipi? Yaani watu walisusia zoezi lako! Badala ya kukubali mapungufu yako, unaenda kupika matokeo, halafu unasema uwepo wa vituo vingi ulisababisha watu wasionekane wakipiga kura! Ni kwamba kulikuwa na vituo milioni ngapi?
 
Back
Top Bottom