Swahib Sinjo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 310
- 282
lema uliwahi kutuaminisha kuwa una maono na huwa unaongea na Mungu anakufunulia ya mbele, vp kuhusu ili hukupata maono mapema kama EL ataenda ikulu????Habari wanaJF,
Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Ukurasa wake wa Twitter amekandia kitendo cha Aliyekuwa Mgombea Urais kupitia Chama cha CHADEMA, Edward Lowassa kufika Ikulu mchana wa leo na kumwaga sifa kwa Serikali ya Awamu ya Tano
''Mh Lowassa umeikosea Tanzania kwa kauli baada ya kutoka Ikulu. Mema yapi umeyaona katika Serikali hii? Wakati Mbunge Lissu bado anauguza majeraha ya risasi, maiti zinaokotwa, Uchumi unaanguka, Benki zinafungwa, Demokrasia imekufa Bungeni/Nje ya Bunge na Sioi mkwe wako bado yuko Magereza''
=====
MY TAKE: Huu ni mpasuko mpya ndani ya CHADEMA!