Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,693
- 26,210
Muulize Mnyika na Lema, hao ndio walioanza kumuita Lowasa fisadi na ushahidi wanao.Juzi tu mlikua mnamwita fisadi kahamia cdm. Ngoja akitangaza kurudu ccm mtamwita jina gani sijui.
Muulize Mnyika na Lema, hao ndio walioanza kumuita Lowasa fisadi na ushahidi wanao.Juzi tu mlikua mnamwita fisadi kahamia cdm. Ngoja akitangaza kurudu ccm mtamwita jina gani sijui.
Lema mwenyewe ni Janga na hana haiba ya kiongozi uongozi ni busara ambayo inahusiana pia na kiongozi kuwa na mbinu nyingi za kufikia malengo.Habari wanaJF,
Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Ukurasa wake wa Twitter amekandia kitendo cha Aliyekuwa Mgombea Urais kupitia Chama cha CHADEMA, Edward Lowassa kufika Ikulu mchana wa leo na kumwaga sifa kwa Serikali ya Awamu ya Tano
''Mh Lowassa umeikosea Tanzania kwa kauli baada ya kutoka Ikulu. Mema yapi umeyaona katika Serikali hii? Wakati Mbunge Lissu bado anauguza majeraha ya risasi, maiti zinaokotwa, Uchumi unaanguka, Benki zinafungwa, Demokrasia imekufa Bungeni/Nje ya Bunge na Sioi mkwe wako bado yuko Magereza''
=====
MY TAKE: Huu ni mpasuko mpya ndani ya CHADEMA!
Leo hamuioni?Hivi kuna faida yoyote Lowassa kuwa chadema?
Zahara Mustafa ·
Secretary at TANESCO
Napenda Rais wetu hana kinyongo na mtu na Lowassa pia mtu mzuri sana vinyongo havitakiwi kabisa na kumpa pongezi anayefanya vizuri ni sahihi kabisa sasa kwa moyo huo Lowassa rudi kwenye chama chako cha CCM kwa moyo mmoja rudi rudi.....
Like · Reply · 6 hrs
Atilio Mbungu ·
Ilula, Iringa, Tanzania
Hakuna siku niliyofurahi kama leo. Nawapongeza wote kwa kufanya hivyo. Mh. Lowassa hana porojo za mtandaoni. Hafanyi appointments za mtandaoni kama wengine. Watu wajifunze namna ya kuomba appointment na viongozi wao. Unapoomba appointment kwenye PRESS maana yake umemdogodesha kiongozi wako mkubwa
Like · Reply · 6 hrs
Kapanya Kitaba ·
Director cum Instructor at College of African Wilderness Experience-"AWE'
Mheshimiwa Waziri Mkuu mstaafu hana kinyongo kabisa pamoja na kutendewa visivyo wakati wa kutafuta jina/ mtu wa kupeperusha bendera kinyang'anyiro cha urais. Alilelewa katika mila na desturi zinazo kataza kabisa kuweka kinyongo moyoni.
Like · Reply · 5 hrs
Baraka Mugisha
Mmm!! Mara Paaa. Karejea alipotoka..
Like · Reply · 5 hrs
Lisah Jamali
NIMEPENDA HICHO KITENDO SIKU MOJA AKIWA BUNGENI ALIWAHI KUSEMA MANENO HAYA HII NCHI YETU SOTE TUKIFANIKIWA TUMEFANIKIWA SOTE TUKIKOSA TUMEKOSA WOTE, HATUNA BUDI KUKAA PAMOJA NA TUKAIJENGA WOTE.PIA NIMPONGEZE MH RAIS KWA KUMKARIBISHA NA KUMTAMBUA KUWA WAZIRI MSTAAFU NA MCHANGO WAKE KATIKA KUJENGA NCHI .MUNGU IBARIKI TANZANISA
Like · Reply · 5 hrs
Godat Nzowa ·
Tycoon Peasant at Tanzania
Hizo ndio siasa tunazozitaka za kutambua kazi ya mtu na utu wa mtu, mngefanya hivyo tangu mwanzo nchi ingekuwa mbaali sana.
Like · Reply · 4 hrs
Thadey Shirima ·
Tumaini University Makumira
Rais...wng kpnz ndo maana kila xku tunakuombea xabbu huna kinyongo na mtu....na hz ndo tunasema siasa pendwa duniani kote...zinazopendwa na wananchi walio ndani ya nchi yako,taifa lako.
Like · Reply · 4 hrs
Loningo Melayeki ·
Institute of Accountancy Arusha
Huu ndio uzalendo, uelewa, ujasiri na ukomavu kisiasa, kifikra n.k. Mtu akifanya vizuri mpongeze, akifanya vibaya mshaauri na kumkosoa ili mambo yaende vizuri. Tanzania ni yetu sote.Hongereni sana waheshimiwa.
Like · Reply · 3 hrs
Omari Rajabu Myanza ·
CBE Dar es Salaam
Alichokifanya Lowassa ni political Diplomacy, anajijengea uhalali wa kuaminika na pande zote mbili bila kuathiri kile anachokiamini. Anazungumzwa kama mwizi, fisadi lakini je mbona kapokelewa kwa bashasha?.
Lowassa amejaribu kuonyesha kuwa siasa sio uadui ni ushindani wa hoja tu na kupongeza pale inapobidi. Kwa upande mwingine anaonyesha namna bora ya kuishi pamoja hata kama hamkubaliani mitizamo yenu kiitikadi, kiimani nk. Ameonyesha njia bora ya kuishi kama taifa moja.
Like · Reply · 3 hrs
Joel Rumanyika ·
ASSISTANT LECTUTER(ICT DEPT) at College of Business Education (CBE)
Hongera Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John Magufuli kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa, uzalendo na kuwapenda watu wote.Hii imeonyesha kuwa Rais Magufuli ni wa wote,pale unapokutana na mpinzani wako na kushikana mikono kwa Amani.Siasa si uadui, ni mitizamo tu inayotofautisha vyama,lakini mwisho wa siku wote ni watanzania wanaohitaji maendeleo bila ubaguzi.Hongereni sana Mheshimiwa Lowassa na Mheshimiwa Rais,kweli mmetuonyesha ukomavu wa kisiasa.Dumisheni hili tusonge mbele.
MUNGU AWABARIKI WOTE.
Lowassa kagundua kuwa hadhi na heshima aliyojijengea inazidi kubomoka kwa sababu ya walopokaji wa chadema kila kukicha wanatukana mkuu wa nchi. Lakini Lowassa anaheshimu mamlaka. Leo kaamua kuikana chadema ili abaki na usafi wake kama mmkoja wa viongozi wakuu wastaafu.Lema mwenyewe ni Janga na hana haiba ya kiongozi uongozi ni busara ambayo inahusiana pia na kiongozi kuwa na mbinu nyingi za kufikia malengo.
Hapa nimeelewa mkuuLema kwa heri jimbo la Arusha
Hamna mwanasiasa mropokaji kama huyu jamaa, anaropoka tu bila kujali jana aliropoka nini! Eti naye ni kamanda!Godbless Lema: Ni heshima kwa Mungu kumzomea na kumtukana mtu fisadi kama Lowassa.
Hivi kuna faida yoyote Lowassa kuwa chadema?
Uliisha pale chadema walipomsafisha na kumsajili kwenye chama chao!Na ufisadi wa Lowasa umeisha
Habari wanaJF,
Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Ukurasa wake wa Twitter amekandia kitendo cha Aliyekuwa Mgombea Urais kupitia Chama cha CHADEMA, Edward Lowassa kufika Ikulu mchana wa leo na kumwaga sifa kwa Serikali ya Awamu ya Tano
''Mh Lowassa umeikosea Tanzania kwa kauli baada ya kutoka Ikulu. Mema yapi umeyaona katika Serikali hii? Wakati Mbunge Lissu bado anauguza majeraha ya risasi, maiti zinaokotwa, Uchumi unaanguka, Benki zinafungwa, Demokrasia imekufa Bungeni/Nje ya Bunge na Sioi mkwe wako bado yuko Magereza''
=====
MY TAKE: Huu ni mpasuko mpya ndani ya CHADEMA!
Hivyo anakumbuka kuwa yeye mwenyenyewe(Lema)alikuwa Rastafale?Lema kuna analolielewa?! Anafikiri nchi ni Tundu Lissu!! Uelewa wa Lema unamtosha yeye peke yake
Mimi sioni unachokishangaa mpaka hapoKachemka sn lowasa....mtu anaharibu nchi yy anaangalia maslahi yake binafsi