Kutokana na global recession inayoendelea kote duniani sasa hivi kuna tetesi kwamba jumamosi inaweza kuhalalishwa kama siku ya kazi ili kuongeza production je kwa wataalamu wa mambo ya uchumi hii kitu iko applicable? na je inaweza kusaidia au ndio mambo yatakuwa magumu zaidi?
Nawasilisha
Nawasilisha