Giselleđź’•

Giselleđź’•

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
16,118
Reaction score
20,529
Miaka ya Nyuma katika kutangatanga siku hapo lang'ata Kinondoni.
Hawa Fm na Nyoshi anaimba hadija wako pale.
Nikamuona binti mmoja kakaa pembeni kajiinamia ni mzuri kweli.
Ndio Giselle.
Namuuliza we vp huzuni huzuni tuko kwe starehe twende tukacheze.
Akasema siwezi kaka,
Kwanini?
Ikabidi kukaa naye kumsikiliza.
Ananiambia ana risasi mguu unaoza alipigwa huko RDC alienda likizo kipindi hicho vita iko moto.
Kumwangalia aisee kweli kuna bonge la kidonda.
Ndio kusema ye mcheza show wa bendi hiyo jukwaani fm musica ila hawezi kucheza wamemtosa.
Aisee nilisikia huruma sana
Nilisaidia ninavyoweza bila kumuuliza chochote akatibiwa akapona.
Aisee akawa kanifanya babaake.
Kila leo huyo,hawa wote wacongo hapo kuanzia king dodo labouche,Nyoshi,yule rapa Diamond musica nimemsahau walikua wote wanasukwa nywele naye.
Na kula wanakuja rundo
Pale kula pondu na samaki.
Wakati wa shida walimuacha.
Mi nawaangalia tu
Yule binti alitoboa akawa na saloon kubwa tu hapo stereo kino kabla huo utitiri wa maduka ya nguo.
Aisee kuna wanawake vinganganizi.
Siku nasema mi nna bibi yangu tuishie hapa duh,
Akawa anakuja kila siku getini analiaaa anaondoka
Anasema baba yangu unaniacha🥲.
Nimekumbuka baada ya kuona hiyo video ya ferre golla👇
Huyo anayecheza kushoto kwa ferre ni Giselle kabisa.
Wamefanana sana
 
Ananiambia ana risasi mguu unaoza alipigwa huko RDC alienda likizo kipindi hicho vita iko moto.
 
Kwahivo ulikula chuma au ulisaidia tu Mkuu hujanyosha maelezoIko wapi Giselle Sasa?
 
Ananiambia ana risasi mguu unaoza alipigwa huko RDC alienda likizo kipindi hicho vita iko moto.
Ilikua zamani nafkiri ulikua namungo kipindi Laurent kabila anachukua Congo.
Huyu binti alienda likizo kwao akitoka Bogoss muzika Kenya,
ndio hiyo ikawa Fm musica Tz
Ndo kule wakashambuliwa kijijini.
Ye alitoroka tu usiku
mpk kigoma
Baba ,mama yake waliuliwa pale anawaona.
Unakujua Beni ww?
Kisangani ndani huko
Hizi story zisikie tu.
Msiombe vita hapo bongo huku mmezoea kitimoto.
Kule analiwa gorilla mzima
 
Iko wapi Giselle Sasa?
Sijui km hata km yupo ila alijiendeleza,
Huyo salon kuwaremba hawa wacongo,kuwasuka,kuwapaka mikorogo kaanza long tyme.
Acha kugombea ugali muhogo ndani na kisamvu wakishiba wanalala hapo.
Wakiamka wanapigwa mkorogo hao ndio wanakuja huko msasani club.
Yule alikua kama big sister wao
 
Back
Top Bottom