miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Habari zenu wana JF,
Naongea na wewe binti ambaye bado upo au upo kwenye mahusiano. Mabinti wengi ni vipofu mnapokuwa kwenye mahusiano na mbaya zaidi na jamii inayotuzunguka ndiyo kipofu zaidi.
Kwanini? Huwa mnajifanya crazy in love mpaka pale wanapokupelekea kuwa crazy kweli kweli baada ya kuzalishwa (sory kwa kutumia neno gumu ila ndiyo ukweli). Angalia kila hatua unayochokua kuna gharama.
Unapomvulia mwanaume nguo ukafanya ngono zembe huku ukijua kabisa lijianaume ulilonalo ni mzigo ila unajipa upofu oooh! I love the way he is. Ooh Niko radhi kulala nae chini mfyuu go to hell. Hivi mnajua kuna maisha baada ya ukichaa huo mimi sijui huwa wanawaza nini kwa kweli?
Eti sitaki kuonekana cheap ohoooo! Hutaki uonekane unapenda hela bora uombe ajue kabisa kuna jukumu mbele yake. Hawa viumbe ndiyo kila kukicha kuja kutuimba ooh single mama wakati wao ndiyo wametukojolea na kutuacha kwa kigezo ooh ametegesha mimba.
Ushauri wangu...
Fungua akili usijipige upofu ooh! Nampenda no wakati mwingine ni bora kupoteza unayempenda kwa ajil ya future (maisha halisi baada ya crazy love kuisha). Ukiona jamaa hana pesa na wala akili ya kuzitafuta piga chini anza upya.
Tumia kinga za kuzuia mimba na magonjwa. Condom, dawa 72hrs or p2 baada ya kusex usipate mimba. Hasa kwa wale vidume visivyojielewa ila kama kuna dalili ya rav 4 beba.
Usione aibu kununua hizo kinga ooh nitaonekanaje jiulize utaoneoanaje baada ya tokeo. Ukiona aibu kununua na mwenzio hawezi acha kufanya kabisa.
Ooh miss unapromote uzinzi jibu ni hapana ila nasema ukweli uliopo watu wanazini sana na hili si la kuficha zaidi tunajidanganya mpaka yatokee yakutokea.
Kwa wazazi kuweni wazi kwa mateen wenu acheni kujidanganya kuwa ni bikra.
Weekend njema
Naongea na wewe binti ambaye bado upo au upo kwenye mahusiano. Mabinti wengi ni vipofu mnapokuwa kwenye mahusiano na mbaya zaidi na jamii inayotuzunguka ndiyo kipofu zaidi.
Kwanini? Huwa mnajifanya crazy in love mpaka pale wanapokupelekea kuwa crazy kweli kweli baada ya kuzalishwa (sory kwa kutumia neno gumu ila ndiyo ukweli). Angalia kila hatua unayochokua kuna gharama.
Unapomvulia mwanaume nguo ukafanya ngono zembe huku ukijua kabisa lijianaume ulilonalo ni mzigo ila unajipa upofu oooh! I love the way he is. Ooh Niko radhi kulala nae chini mfyuu go to hell. Hivi mnajua kuna maisha baada ya ukichaa huo mimi sijui huwa wanawaza nini kwa kweli?
Eti sitaki kuonekana cheap ohoooo! Hutaki uonekane unapenda hela bora uombe ajue kabisa kuna jukumu mbele yake. Hawa viumbe ndiyo kila kukicha kuja kutuimba ooh single mama wakati wao ndiyo wametukojolea na kutuacha kwa kigezo ooh ametegesha mimba.
Ushauri wangu...
Fungua akili usijipige upofu ooh! Nampenda no wakati mwingine ni bora kupoteza unayempenda kwa ajil ya future (maisha halisi baada ya crazy love kuisha). Ukiona jamaa hana pesa na wala akili ya kuzitafuta piga chini anza upya.
Tumia kinga za kuzuia mimba na magonjwa. Condom, dawa 72hrs or p2 baada ya kusex usipate mimba. Hasa kwa wale vidume visivyojielewa ila kama kuna dalili ya rav 4 beba.
Usione aibu kununua hizo kinga ooh nitaonekanaje jiulize utaoneoanaje baada ya tokeo. Ukiona aibu kununua na mwenzio hawezi acha kufanya kabisa.
Ooh miss unapromote uzinzi jibu ni hapana ila nasema ukweli uliopo watu wanazini sana na hili si la kuficha zaidi tunajidanganya mpaka yatokee yakutokea.
Kwa wazazi kuweni wazi kwa mateen wenu acheni kujidanganya kuwa ni bikra.
Weekend njema