Girls born in 1990

Mwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele namba ya simu sio ishu tena.

Yaani mtu anaweza kupata namba yako ya simu muda wowote atakaoitaka.
 
Umeona eeh?
Yaani mtu hawezi hata kusema alikopata namba[emoji3]
 
Hivi kweli unaachaje kuliuliza furushi limepataje namba yako[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Wengine kupata namba yako ni laana acha tu muulizwe. Namtaulizwa tu hata tukifika 50.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…