MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 9,642
- 13,826
Muke ya muzungu
Naona kiingereza kinawachenga sana wabongo,huyu binti baadae alikutana 'live' na huyo mzungu mjini mombasa na wakalala wote hotelini na kisha akafanyiwa sexual assault ikiwa na maana kuwa alibakwa bila ridhaa yake au aliingiliwa kinyume na maumbile ndo maana hakuweza kutembea vizuri ni ktk kufanyiwa vitendo hivyo ndo akapigwa na picha akiwa uchi kama alivyozaliwa,yule binti akarudi nairobi ambako alianza kumtafuta yule mzungu ili amtibie lakini njia zote za mawasiliano zilifungwa huku akitishiwa na yule mzungu kuwa picha zote za uchi angeziweka mtandaoni dunia nzima izione,hapo ndo akapagawa na kuamua kujiua,nimejaribu kufafanua kifupi tu.
Naona kiingereza kinawachenga sana wabongo,huyu binti baadae alikutana 'live' na huyo mzungu mjini mombasa na wakalala wote hotelini na kisha akafanyiwa sexual assault ikiwa na maana kuwa alibakwa bila ridhaa yake au aliingiliwa kinyume na maumbile ndo maana hakuweza kutembea vizuri ni ktk kufanyiwa vitendo hivyo ndo akapigwa na picha akiwa uchi kama alivyozaliwa,yule binti akarudi nairobi ambako alianza kumtafuta yule mzungu ili amtibie lakini njia zote za mawasiliano zilifungwa huku akitishiwa na yule mzungu kuwa picha zote za uchi angeziweka mtandaoni dunia nzima izione,hapo ndo akapagawa na kuamua kujiua,nimejaribu kufafanua kifupi tu.
Msichana kajitokeza anadai hajafa!!!!
![]()
Kilimpata nini hadi kuanza kutuma picha zake full za utupu mtandaoni,
Muwe mnatuma nusunusu jamani
Wacha ziwacost maana hakuna namna nyingine coz most of you are very cheapHuu ujinga huu.....vipi utume picha za utupu kwa mtu online hata mume wangu bado sijatuma. Hizi ndoto za kuolewa na wazungu zinatucost kweli
Hivi ni Mtanzania au Mkenya aliye zaliwa Tanzania ,naomba mnisaidie
Ni mkenya kazaliwa Tanzania, ila kwa vile habari ni negative, wakenya wanamlazimisha awe mtanzania....Ila hao hao wanasema Obama ni mkenya....:embarrassed: