Kejeli zipi sasa?Hizi ni kejeli.
Mkuu kitu kama hichi naweza kupata kwa kiasi gan?Gheto kali kushinda iliView attachment 2003872
Wewe mbona unaishi kwa dadako umeshindwa hata kupanga chumba kimoja,shemeji yako akila mzigo unaishia kusonya tu.Mbwe mbwe zote zile za kulipwa mapesa mengi kumbe Jamaa wanapunjwa sana eti.
Soma katikati ya maneno.kwa akili yake ya ushabiki maandazi ndio kaona hilo ni gheto kali loh? kuna shida sana mahali. kiufupi umasikini ndio unatufanya tuwe na akili mbovumbovu , ndiomaana tunaishia kukaa chini mashuleni huku mbunge anatembelea V8 ya mil 200, na maji pia tunakunywa ya kisima pamoja na ng'ombe huku mbunge anakunywa ya chupa ,na kuna wengine hata wanayaogea ya chupa