Gheto linauzwa

Gheto linauzwa

mkalikali

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
363
Reaction score
131
MAHALI: Mbezi kibanda cha mkaa
Upande wa kanisa.

VYUMBA: Viwili (Double room).

KODI: 40,000/= kwa mwezi. Pamelipiwa mpaka 31-january 2014.

VILIVYOMO:
1. Kitanda 5 x 6
2.Godoro 5 x 6
3.Jiko la gesi na gesi yake 6KG
4.Sofa watu wawili (box)
5.Kabati dogo la vyombo
6.Vyombo vya kupikia, kutunzia vyakula na kula.
7. Vifaa vya usafi.
8. Capet
(mpira + manyoya sebleni)

NB: KILA KITU NI KIPYAAA

Ni PM tufanye biashara..
 
19don kila kitu changu kwa vithibitisho halali na kwa mashahidi.
 
Last edited by a moderator:
MAHALI: Mbezi kibanda cha mkaa
Upande wa kanisa.

VYUMBA: Viwili (Double room).

KODI: 40,000/= kwa mwezi. Pamelipiwa mpaka 31-january 2013.

VILIVYOMO:
1. Kitanda 5 x 6
2.Godoro 5 x 6
3.Jiko la gesi na gesi yake 6KG
4.Sofa watu wawili (box)
5.Kabati dogo la vyombo
6.Vyombo vya kupikia, kutunzia vyakula na kula.
7. Vifaa vya usafi.
8. Capet
(mpira + manyoya sebleni)

NB: KILA KITU NI KIPYAAA

Ni PM tufanye biashara..
Unamaanisha bado hujavitumia au?
 
Ebu kuwa muwazi unauza geto au unauza vifaa?pia mbona january 2013 imeshapita au mtu akulipie deni lako?pia weka bei.
 
MAHALI: Mbezi kibanda cha mkaa
Upande wa kanisa.

VYUMBA: Viwili (Double room).

KODI: 40,000/= kwa mwezi. Pamelipiwa mpaka 31-january 2013.

VILIVYOMO:
1. Kitanda 5 x 6
2.Godoro 5 x 6
3.Jiko la gesi na gesi yake 6KG
4.Sofa watu wawili (box)
5.Kabati dogo la vyombo
6.Vyombo vya kupikia, kutunzia vyakula na kula.
7. Vifaa vya usafi.
8. Capet
(mpira + manyoya sebleni)

NB: KILA KITU NI KIPYAAA

Ni PM tufanye biashara..

Kwa kodi hiyo ni majanga.....
 
Hapa anatafutwa mtu wa kuuziwa kesi,wakati ye keshasepa na sim kazima.
 
Typing error pamelipiwa mpaka 2014.
Niko zenji since 2012 kikazi na sitarudi dar hivi karibuni ndo maana ninauza. Nisieleweke vibaya ndugu zangu.
 
Hapa anatafutwa mtu wa kuuziwa kesi,wakati ye keshasepa na sim kazima.

Sio kweli kaka. Sina sababu ya kufanya hivyo. Mali ni yangu, hakuna mgogoro wowote na mtu yeyote, niko tayari kufanya biashara kupitia mahakama.
 
Bongo watu wamekuwa wagojwa wa utapeli, mtu akiona bizness kwanza kazima aweke kwenye mizani ya utapeli ndipo aendelee hahahahaha tz bwana
 
MAHALI: Mbezi kibanda cha mkaa
Upande wa kanisa.

VYUMBA: Viwili (Double room).

KODI: 40,000/= kwa mwezi. Pamelipiwa mpaka 31-january 2014.

VILIVYOMO:
1. Kitanda 5 x 6
2.Godoro 5 x 6
3.Jiko la gesi na gesi yake 6KG
4.Sofa watu wawili (box)
5.Kabati dogo la vyombo
6.Vyombo vya kupikia, kutunzia vyakula na kula.
7. Vifaa vya usafi.
8. Capet
(mpira + manyoya sebleni)

NB: KILA KITU NI KIPYAAA

Ni PM tufanye biashara..

Ni self?
 
MAHALI: Mbezi kibanda cha mkaa
Upande wa kanisa.

VYUMBA: Viwili (Double room).

KODI: 40,000/= kwa mwezi. Pamelipiwa mpaka 31-january 2014.

VILIVYOMO:
1. Kitanda 5 x 6
2.Godoro 5 x 6
3.Jiko la gesi na gesi yake 6KG
4.Sofa watu wawili (box)
5.Kabati dogo la vyombo
6.Vyombo vya kupikia, kutunzia vyakula na kula.
7. Vifaa vya usafi.
8. Capet
(mpira + manyoya sebleni)

NB: KILA KITU NI KIPYAAA

Ni PM tufanye biashara..

Sasa we unauza gheto au unakodisha?maona hueleweki
 
Typing error pamelipiwa mpaka 2014.
Niko zenji since 2012 kikazi na sitarudi dar hivi karibuni ndo maana ninauza. Nisieleweke vibaya ndugu zangu.

Ujiandae kutafuta work-permit kuanzia 2015kama hutorudi dar hivi karibuni, maana wazenj wamecharuka kutaka nchi yao. La kama ww mzenj.....
 
Back
Top Bottom