Habari za Zanzibar
JF-Expert Member
- Dec 18, 2024
- 261
- 199
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Ghati Zephania Chomete, leo Machi 26, 2026, amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), marehemu William Lukuvi.
Soma Pia: Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia
Chomete amesaini kitabu hicho nyumbani kwa marehemu, eneo la Area D, jijini Dodoma.
Soma Pia: Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia
Chomete amesaini kitabu hicho nyumbani kwa marehemu, eneo la Area D, jijini Dodoma.