Ghati Chomete asaini kitabu cha maombolezo kwa Lukuvi

Ghati Chomete asaini kitabu cha maombolezo kwa Lukuvi

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
261
Reaction score
199
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Ghati Zephania Chomete, leo Machi 26, 2026, amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), marehemu William Lukuvi.

Soma Pia: Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

Chomete amesaini kitabu hicho nyumbani kwa marehemu, eneo la Area D, jijini Dodoma.

IMG-20260326-WA0102.jpg
223f53cfdf96412f94a4f3e87ee9cfc5(1).jpg
 
Hivi viti maalumu ni uharibifu tu wa kodi zetu. Cha maana wanachofanya hakuna🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Ghati Zephania Chomete, leo Machi 26, 2026, amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), marehemu William Lukuvi.

Soma Pia: Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

Chomete amesaini kitabu hicho nyumbani kwa marehemu, eneo la Area D, jijini Dodoma.

View attachment 3563071View attachment 3563072
Zati bichi is the most self-aggrandizing Kurya woman I have ever known in my life!
 
Kumbe n mbunge wa.chupi wabunge viti maalum huko chama chakavu maeneo ya siri huwa yanaumizwa sana na waandamiz wa chama toka.lumumba
 
Back
Top Bottom