Ghasia za kisiasa zaitingisha Bangkok

Ghasia za kisiasa zaitingisha Bangkok

bmalale

Senior Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
466
Reaction score
24
Polisi ya Thailand imetumia gesi ya kutowa machozi na maji ya kuwasha kuwatawanya waandamanaji Jumapili(01.12.2013) wakati walipokuwa wakijaribu kuvamia makao makuu ya serikali kumpinduwa Waziri Mkuu Yingluck Shinawatra.

Ghasia hizo ni mfulululizo wa mfarakano wa kiraia katika nchi hiyo ya kifalme tokea magenarali wenye kuupendelea ufalme kumpinduwa tajiri mkubwa wa nchi hiyo aliekuja kuwa waziri mkuu Thaksin Shinawatra miaka saba iliopita.

....Vijana tumevurugwa.....Donia nzima watu sasa wana hamsha tu......SIASA KAZI

HABARI KAMILI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom