Gharama za usajili wa dawa asili

left eye

JF-Expert Member
Jun 30, 2018
207
266
Serikal mara kwa mara kupitia wizara yake ya afya imekuwa ikijinasibu iko karibu na tiba asili na wamekuwa wakijal na kuendeleza tiba asili hapa nchini kitu ambacho kwa upande mmoja si kweli hata kidogo

Serikal imekuwa ikihimiza waganga wa tiba asili kusajili dawa zao na kupewa vibal vya kuzitangaza na hatimae kupata soko la ndani na kimataifa

Kitu wasichokifaham ni kuwa Sisi matabibu wa tiba asili sio kuwa hatupend kusajili dawa zetu kama za nguvu za kiume ,kisukari ,ukimwi na nyinginezo ila ni gharama kubwa katika usajili huo serikal inaotoza

Imagine kusajili dawa yako moja tu na kuitangaza si chini ya milion na nusu ,ukiwa na dawa nne ni milion 6 kwel tutamudu vipi ,kwasoko gan lililopo au kwa wateja gan tulonao

Achilia mbal Hilo Sheria ya kutotangaza tiba asili imekuwa si rafiki na kandamiz kwa matabibu wa asili na ni muda wazir mwenye dhamana aiondoe ikiwa serikal yake kwel iko bega kwa bega na tiba asili hapa nchini
 
Wawaruhusu na wapiga LAMLI ( Waganga wa kienyeji)hizi tiba asili peke yake hazitoshi
 
Unaongelea kudajili dawa he ukifanikiwa kudajili na ikawa kweli ni dawa nzuri unadhani utapata mamilioni ngapi kwa siku???

Kama upo serious sajili dawa ingia hata Joint Venture na kampuni wape shares kadhaa watoe capital ya kusajili pamoja na matangazo, patent nk then muweke management itakayosimamia mauzo halafu muwe mnagawana faida.

Kumbuka ukishasajili unakula hela mpaka unakufa sasa unalalamika nini milioni sita aisee ???

Unless hiyo sio dawa kweli ni upigaji Ila wapo akina dokta mwaka wanalipia hizo nenda ingia nae ubia.
 
Unaongelea kudajili dawa he ukifanikiwa kudajili na ikawa kweli ni dawa nzuri unadhani utapata mamilioni ngapi kwa siku???

Kama upo serious sajili dawa ingia hata Joint Venture na kampuni wape shares kadhaa watoe capital ya kusajili pamoja na matangazo, patent nk then muweke management itakayosimamia mauzo halafu muwe mnagawana faida.

Kumbuka ukishasajili unakula hela mpaka unakufa sasa unalalamika nini milioni sita aisee ???

Unless hiyo sio dawa kweli ni upigaji Ila wapo akina dokta mwaka wanalipia hizo nenda ingia nae ubia.
Mkuu Sisi tupo katika fani hii tunajuwa tunachokisema wateja sio kiivo ,na dawa ninazo hata wewe au mtu yoyote naweza mpa dawa mfano za kisukari ,pressure au ukimw na asipopona alete ushuhuda hapa na kuhus kufanya kaz na hao watu ni vizur lakin mpaka upate watu wa hivo na si rahis ,tatizo serikal inaona Sisi tuna pesa Sana ndo mana kila kitu kwetu wanaweka ugumu ila Kama wangekuwa serious wangeingiza mapato makubwa Sana kupitia Sisi coz watu dawa wanazo ila nan sasa anazo hizo pesa za kusajil
 
Back
Top Bottom