sulle my nem
Member
- Feb 3, 2017
- 44
- 35
Lisha ya serikal kupga marufuku kupanda kwa bei za nishat hasa umeme imebainika kupuuzwa kwa kaul hiyo ya serikali baada ya kuonekana kupanda kwa bei ya nishat hiyo kimya kimya bila kuwataarifu wananchi....hiyo imedhihirika leo hii baada ya mkaz mmoja kununua umeme wa elfu kumi na tano na kuambulia units 21 na kukatwa zaid ya shiling elfu nane kama garama kama ionekanavyo kwenye taarifa za muhamala hapo chini