Wanapandisha bei bila hata kujali kuwa hatuangalii masaa yote na huu mgao wa umeme wa masaa 16, hawana hata aibu wanachaji kwa siku badala ya kutumia mfumo wa LUKU... Hivi kama Tanesco wangechaji kama DSTV ingekuwaje. Sio lazima kusubiri kampuni nyingine ije ila na wao waone aibu kutuibia wateja wao hata wakati huu muda karibu wote hakuna umeme. Na hata umeme ukiwepo wanaangalia mahouse girl tu kwani tuko kazini mchana tukirudi jioni tumechoka. Wazungu wanatumia pay per view, hawa wezi wanachaji pay without view, ni kama capacity charge tunazolalamikia Tanesco. JAMANI DSTV ONENI AIBU MTUMIE MFUMO WA LUKU AU PAY PER VIEW SIO KUTUIBIA HELA ZETU AUTOMATIC. ZIKIBAKI SIKU MBILI MNATUMA MSG TULIPIE BILA KUZINGATIA KUWA WATEJA HATUJAANGALIA CHANNEL ZENU HATUNA UMEME