Gharama za TBC kurusha live shughuli za Mkulu huenda zimezidi zile za kurusha live Bunge

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,324
152,136
Tuliambiwa moja ya sababu za kuzuia TBC kurusha live shughuli za vikao vya Bunge ilikuwa ni kupunguza gharama kwa lengo la kubana matumizi lakini kwa haya yanayoendelea karibu kila siku sidhani kama lengo hili limetimia /linatimia.

Kama kweli kuna kiasi kimeokolewa, watakuwa teyari kukitangaza hadharani ili tuone tumeokoa kiasi gani?

CAG tunaomba mwakani katika taarifa yako utayoitoa utupe pia tathimini ya gharama hizi zilizookolewa.
 
Chadema mpeni kazi huyu kijana, makato ya bodi katika mshahara yanazidi kumchanganya
 
Tuliambiwa moja ya sababu za kuzuia TBC kurusha live shughuli za vikao vya Bunge ilikuwa ni kupunguza gharama kwa lengo la kubana matumizi lakini kwa haya yanayoendelea karibu kila siku sidhani kama lengo hili limetimia /linatimia.

Kama kweli kuna kiasi kimeokolewa, watakuwa teyari kukitangaza hadharani ili tuone tumeokoa kiasi gani?

CAG tunaomba mwakani katika taarifa yako utayoitoa utupe pia tathimini ya gharama hizi zilizookolewa.

Samahani tuko kwenye Kampeni bado
 
Tuliambiwa moja ya sababu za kuzuia TBC kurusha live shughuli za vikao vya Bunge ilikuwa ni kupunguza gharama kwa lengo la kubana matumizi lakini kwa haya yanayoendelea karibu kila siku sidhani kama lengo hili limetimia /linatimia.

Kama kweli kuna kiasi kimeokolewa, watakuwa teyari kukitangaza hadharani ili tuone tumeokoa kiasi gani?

CAG tunaomba mwakani katika taarifa yako utayoitoa utupe pia tathimini ya gharama hizi zilizookolewa.
Mangi una JUHUDI
 
Ukiona jirani kaweka ukuta nyumbani kwake ujue kipo anacho ficha kisionekane na ukiona jirani wanalalamika kwanini umejenga ukuta ujue kipo alicho kuwa anafaidi
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Are you serious kwamba shughuli za Raisi zisioneshwe kwenye TV ya Taifa kisa Bunge halioneshwi?
Kwani kutooneshwa shughuli za Bunge kunaharalisha vipi kutokuoneshwa kwa shughuli anazofanya Rais?
Kimsingi siafiki kwa kiwango kikubwa kutokuonesha shughuli za Bunge Live lakini pia siafiki kwamba hilo linahalalisha kutoonesha Shughuli za raisi.
Sasa kama huoneshi shughuli za Raisi, unataka uoneshe za nani? Bongo movie au Bongo flavor? Hoja yako haina mashiko na ni mfu. Acha JPM atimize ndoto zake kwa maslahi mapana ya Taifa.
 
Tuliambiwa moja ya sababu za kuzuia TBC kurusha live shughuli za vikao vya Bunge ilikuwa ni kupunguza gharama kwa lengo la kubana matumizi lakini kwa haya yanayoendelea karibu kila siku sidhani kama lengo hili limetimia /linatimia.

Kama kweli kuna kiasi kimeokolewa, watakuwa teyari kukitangaza hadharani ili tuone tumeokoa kiasi gani?

CAG tunaomba mwakani katika taarifa yako utayoitoa utupe pia tathimini ya gharama hizi zilizookolewa.
Mh Prof Kabudi katoa darasa kwa wabunge wenu kuwa Rais ni taswira ya nchi, Amiri Jeshi Mkuu na Mkuu wa serikali. Akifanya kazi kama mkuu wa serikali na akawa anarushwa mubashara hapo sawa wabunge na mahakama wanapaswa kulalamika kwamba chombo kingine kinaupendeleo. Akifanya kama mkuu wa nchi au amiri jeshi mkuu hapo haingiliwi.
Bungeni jamaa zako walielewa sijui kwanini wewe huelewi na unaendelea kuja na ngonjera.
 
Back
Top Bottom