Gharama Za Simu Ndio Zimepanda Kiasi Hiki!?

Gharama Za Simu Ndio Zimepanda Kiasi Hiki!?

tuache kulalamika sana, tukutane na wabunge wetu 2015 majimboni watakuja tu hasa hawa wa chama tawala coz wanautumia wingi wao bungeni kutuumiza walala hoi,jamaa wametusaliti na sisi tuwakatae.

like like like like like umeongea hoja mkuu, lakini ubaya wa wanaccm ni kuwa wanasahu adha yote wakipewa mlo mmoja tu let alone kanga na vitenge
 
Lazima tuungane kwa namna yoyote ile ndani ya ID na nje ya ID zetu kuondoa hii dhulmati.
 
Jana Jumapili mida ya saa kumi na mbili jioni nimeongea kwa sekunde 10 tu nimetumia Shs. 40.56, yaani karibia Shs. 4 kwa sekunde. Hivi mitandao yote ni Hivyo hivyo au ninaotumia mimi tu?

Wewe bora uliongea...ukakatwa kiasi hicho...mimi nilipiga simu kwa rafiki yangu ambaye yuko hapa hapa Tanzania na customer care wakasema simu haipatikani...lakini nilikatwa shilingi saba za kitanzania.
 
Jana Jumapili mida ya saa kumi na mbili jioni nimeongea kwa sekunde 10 tu nimetumia Shs. 40.56, yaani karibia Shs. 4 kwa sekunde. Hivi mitandao yote ni Hivyo hivyo au ninaotumia mimi tu?

matunda ya kuchagua mabunge ya maccm ndo hii
 
True. Mi nimeamua kuachana za zile line nyingine nikabakiza moja tu. Hatua ya pili nimeachana na mambo ya nyimbo za miito ya simu. Hatua nyingine zitafuata baada ya kufanya tathmini ya hizi za awali.

Sure mkuu.. nami nipo nyuma yako, hizi.line 3 zishakuwa anasa sasa""!
 
kweli mkuu,gharama naona zimepanda kuanzia ktk vifurushi mpaka kupga kawaida!BIG UP kwa serekali sikivu na makini ya jk.
Waacheni CCM wajizike wenyewe maana wako katika dilemma, kuyabana makampuni ya simu wanashindwa baada ya kuvuta mshiko wa rushwa na kuandikiana mikataba ya kimangungu na kugawiwa hisa, lakini pia kelele za wapinzani juu ya ukwepaji kodi zinawatisha. Suluhu kwao ni kuyaruhusu makampuni haya yatoze zaidi ili kila mwezi yapeleke elfu elfu za kila laini!
Kwa njia hii wameongeza ugumu wa maisha ya watanzania watakaoichukia zaidi hii serikali na kuiangusha kwa kishindo ifikapo 2015.
 
tuache kulalamika sana, tukutane na wabunge wetu 2015 majimboni watakuja tu hasa hawa wa chama tawala coz wanautumia wingi wao bungeni kutuumiza walala hoi,jamaa wametusaliti na sisi tuwakatae.
Hii tabia ya kudanganya watu kuwa wavumilie tu 2015 inakuja siipendi ila basi tu. Watu wanaumia unawaambia wasubiri 2015. Hebu piga taswira ya walichokifanya Brazil baada ya maisha kuwa tight, hawakusubiri uchaguzi. Kwa nini sisi tuendelee kuimba 2015?
 
Back
Top Bottom