Jana Jumapili mida ya saa kumi na mbili jioni nimeongea kwa sekunde 10 tu nimetumia Shs. 40.56, yaani karibia Shs. 4 kwa sekunde. Hivi mitandao yote ni Hivyo hivyo au ninaotumia mimi tu?
gharama zimepanda sana tena sana mfano halisi chungulia MPESA walivoamua kuua, kudadeki kutuma laki 4 unakatwa 1200 kutoa unapigwa elfu 4 na ushee jumla ya transaction hiyo ni zaidi ya elf 5500.
We are conned left, right and center. Poor hopeless tanzanian
Jana Jumapili mida ya saa kumi na mbili jioni nimeongea kwa sekunde 10 tu nimetumia Shs. 40.56, yaani karibia Shs. 4 kwa sekunde. Hivi mitandao yote ni Hivyo hivyo au ninaotumia mimi tu?