kiba binladen
New Member
- Oct 9, 2018
- 2
- 3
Ndege zote 6 zilizonunuliwa na serikali (Bombardier 3, Airbus 2 na Boeing 1) zimegharimu jumla ya TZS bilioni 817, ambapo kwa pamoja ndege hizo zina uwezo wa kubeba abiria 598 kwa wakati mmoja. Ndege 2 ziliwasili nchini 2016, nyingine 3 mwaka 2018, huku ya mwisho imewasili 2019.