Hiyo bei ni 3days 2 nights kama akuvyotaka mleta uzi?Ngorongoro Serena Safari Lodge
Kwa mtu mmoja ni $ 456
Tangia jana usiku tulifika huku leo asubuhi hadi mchana tulikuwa huku porini tunawinda! Na kibali sijui raia wa kawaida wanaingiaje
Karibu hapa Serena Safari tunashushia cattle na serengeti
+255272545530Hiyo bei ni 3days 2 nights kama akuvyotaka mleta uzi?
Na ina include nini?
wew ni nabii?ingia you tube andika serengeti download video ya lisaa limoja angalia wanyama wote bila wasi, maana najua ukenda uko lazima uliwe na simba