Gharama za kumtoa Lissu Dodoma mpaka Dar es Salaam.

Molembe

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
9,917
11,799
Hivi kwanini serikali inatumia pesa ambazo ni kodi zetu ndivyo sivyo, kulikuwa na haja gani kumchukua Lissu na kumsafirisha mpaka Dar es Salaam kwa pesa ambazo ni kodi zetu, au kwa vile hizo pesa ni kodi zetu na wao hawalipi kodi ndio maana haziwaumi.

Kwanini wasingempigia simu aende mwenyewe kituo cha polisi mpaka wanatumia pesa za walalahoi kumsafirisha toka Dodoma mpaka Dar, hii si ni aina ya ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za taifa na cha kushangaza wamekosa kosa la kumshitaki.
 
Hivi kwanini serikali inatumia pesa ambazo ni kodi zetu ndivyo sivyo, kulikuwa na haja gani kumchukua Lissu na kumsafirisha mpaka Dar es Salaam kwa pesa ambazo ni kodi zetu, au kwa vile hizo pesa ni kodi zetu na wao hawalipi kodi ndio maana haziwaumi.

Kwanini wasingempigia simu aende mwenyewe kituo cha polisi mpaka wanatumia pesa za walalahoi kumsafirisha toka Dodoma mpaka Dar, hii si ni aina ya ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za taifa na cha kushangaza wamekosa kosa la kumshitaki.


Siyo hiyo tu hata kumlisha huko Jela ni gharama sana na jamaa anavyokula lkn ndiyo hivyo tena mshauri atii bila ya shurti ili kuokoa fedha zetu!
 
Wanapoteza pesa za walipa kodi kwa upuuzi wao kesi hazina kichwa wala matako!!! Kuipendeekeza tu wakati mwenzao anawadharau tu.....anawatega awafyatue
 
Siyo hiyo tu hata kumlisha huko Jela ni gharama sana na jamaa anavyokula lkn ndiyo hivyo tena mshauri atii bila ya shurti ili kuokoa fedha zetu!
Hivi mtu mzima na akiri nzuri unaweza ukaandika maneno kama haya? Unamapungufu wewe sio bure
 
Hivi kwanini serikali inatumia pesa ambazo ni kodi zetu ndivyo sivyo, kulikuwa na haja gani kumchukua Lissu na kumsafirisha mpaka Dar es Salaam kwa pesa ambazo ni kodi zetu, au kwa vile hizo pesa ni kodi zetu na wao hawalipi kodi ndio maana haziwaumi.

Kwanini wasingempigia simu aende mwenyewe kituo cha polisi mpaka wanatumia pesa za walalahoi kumsafirisha toka Dodoma mpaka Dar, hii si ni aina ya ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za taifa na cha kushangaza wamekosa kosa la kumshitaki.
si chini ya milioni 3
 
Washaona posho kwenye mambo mengine hazilipwi ila kuwafuata wapinzani ndio zinalipwa. Usikute walikwenda Dodoma watu kumi kutoka Dar
 
Wanapoteza pesa zetu za kodi kwa mambo ya kipuuzi kabisa wanatumia nguvu kubwa sana kupambana na Upinzani kuliko kuwaletea wananchi maendeleo.
 
Sawa Kabisa, kubana matumizi ni kumjulisha mtuhumiwa kwa maandishi au simu, Halafu mtuhumiwa kwenyewe ni mtu maarufu na mchaguliwa wa wananchi katika jimbo husika
 
Back
Top Bottom