Msangani, kibahaLipo wapi hilo eneo?
Asante kwa kuonesha jinsi gharama zinaweza kuwa. Hili bwawa litakuwa wazi tu kwa juu kwa vile maji yakijaa yataruhusiwa kuendelea kutiririka kwenda mashamba mengine. Lengo langu ni kulijengea kuta za pembeni na chini kuweka floor. Sasa wenye utaalamu huo na gharama ndiyo najaribu kupata maoni yao kama yalivyo ya kwako. Pia kwa wazoefu wa kujenga mabwawa wanaweza shauri material za kujengea kuta aidha tofali au mawe ili niweze kuona tofauti ya ghara itakuwaje na nijiandae vipi.Mkuu hivyo vipimo viko sawa kweli maana mita 30 kwa mita 60 sio mchezo. Hapo 5 mil zinaweza katika maana tofali sio chini ya 2000@1000=2mil, uchimbaji hapo man power inaweza gharimu laki 5 cement mifuko hamsini@10000=laki 5.kokoto kwa ajili ya zege ya chini roli 3 kila roli 280000=740000 nondo za kufunika juu kama utafunika zinahitajika za mm16 ambapo kila nondo ni 30000 utahitaji nondo kama 50 ambapo ni 1.5mil.total 4.ushee.hapo fundi sijui utampa bei gani
Asante kwa kuonesha jinsi gharama zinaweza kuwa. Hili bwawa litakuwa wazi tu kwa juu kwa vile maji yakijaa yataruhusiwa kuendelea kutiririka kwenda mashamba mengine. Lengo langu ni kulijengea kuta za pembeni na chini kuweka floor. Sasa wenye utaalamu huo na gharama ndiyo najaribu kupata maoni yao kama yalivyo ya kwako. Pia kwa wazoefu wa kujenga mabwawa wanaweza shauri material za kujengea kuta aidha tofali au mawe ili niweze kuona tofauti ya ghara itakuwaje na nijiandae vipi.
Asante mkuu nimekupata, nitazingatia ushauri wakoTumia tofali za kawaida halafu unapiga plaster then nilu ila cement ratio ya plasta inatakiwa iwe kali pia kuna kichanganyishi flan utaongeza kwenye nilu ili iwe bora zaidi na idumu kwa mda mrefu, floor ya chini weka zege ya kawaida then nayo ipigwe plaster na nilu.then weka maji.kila lakheri