Njia ya zamani inafanya kazi sawa lakini wanasema wao ni kwa hajili ya SIMU ZA MKONONI siyo kwa ajili ya PC na ni kweli kwani wakidetecctb speed yako iko juu wanaimeza fasta hasa wakati una download lakini kama unasuff unaenjoy sana,......... internet kwenda 15444.....sometyme message wanazifanya zinakua failure ukitumia 15444 but cyo cku zote kwani weakend nzima wamegoma kureply mpaka niliponuna kifurushi cha siku 1 kwa sh500 amabzo ni50mb(time based subscription)