Gharama ya ujenzi: msaada pls

Keben

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
725
Reaction score
178
Wanajukwaa natanguliza shukrani zangu
#Nampango wa kujenga nyumba. Sina uelewa mpana sana kuhusu gharama ya kujenga nyumba
# Nahitaji kujenga nyumba ya kuanzia tofali za block 2800-3000 na bati 1 isizidi 30000.
# Kiwanja tayari ninacho 30×30 tu
# mchanga na mawe 60000 kwa trip
# Budget niliyonayo ni 23mil
Je, naweza kufika sehemu gani ktk hili? Na kama nitapungukiwa, nitapungukiwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…