Ahsante sana mkuu.Mpaka unajenga jengo kufika hatua hio duka la vifaa vya ujenzi utakuwa una lifahamu, sehemu sahihi ya kupata bei ya bidhaa ni dukani.
Hata hivyo pvs pic 1 ni kati ya 8,000 hadi 10,000.
Garama za ufundi ni walao asilimia 25 hadi 30 ya garama za material.
Hapana vile pvc ni 2500 mkuuMpaka unajenga jengo kufika hatua hio duka la vifaa vya ujenzi utakuwa una lifahamu, sehemu sahihi ya kupata bei ya bidhaa ni dukani.
Hata hivyo pvs pic 1 ni kati ya 8,000 hadi 10,000.
Garama za ufundi ni walao asilimia 25 hadi 30 ya garama za material.
Achana na asilimia za material pesa ya ufundi ni mapatanoMpaka unajenga jengo kufika hatua hio duka la vifaa vya ujenzi utakuwa una lifahamu, sehemu sahihi ya kupata bei ya bidhaa ni dukani.
Hata hivyo pvs pic 1 ni kati ya 8,000 hadi 10,000.
Garama za ufundi ni walao asilimia 25 hadi 30 ya garama za material.
NDUGU YANGU UMESHINDWA KWENDA HARDWARE KUULIZA BEI YA pvc?Wakuu,
Naulizia gharama ya PVC board za dari nje ya nyumba.
- Zinauzwa sh. ngapi?
- Kwa nyumba za vyumba vitatu, sebule, jiko, dinning room & vyoo viwili, gharama ya ufundi ni Sh. ngapi?
Msaada ili tuvuke hiyo hatua wakuu.