Inasikitisha sana.Nilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.
Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..
Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?
1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.
2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?
3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.
4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.
5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..
6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu ibariki Tanzania..
Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
Maza asipodili na wezi labda Mapolisi ndio yampigie kura 2025 kama ilivyokuwa 2020.Na wamezipiga kweli kweli!
Ana akaunti China na Visa Card mfukoni.Usikute kina Biswalo ndio wanapiga michongi kama hii.. pesa ndefu..
Walimsifia Magufuli mpaka akajiona mungu fulani.Hao chawa wake tu, sidhani kama ni mama ndio amekuwa na huo mkakati
Kuna wajinga walimwingiza sikoMoja kati ya kosa la kimkakati la mama ni kuonyesha nia ya kugombea 2025!!
Kitu gani hajui huyu!!?
Ccm humweka wanaye mtaka sasa si angesubiri wake waamue hatma yake!!!? kwani jua mwenyekiti nintiketi ya kua mgombea!!?
Angepiga kazi tu mengine yawe majaaliwa ya mola tu!
Mungu ibariki Tanzania e yetu!!
we una uwezo wa kuzunguka mikoa yote? Acha wivu na chuki za kike. Mamako amechangishwa chochote? Unajihangaisha na mambo usiyoyaweza kahangaikie hayo maisha yako magumu.Nilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.
Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..
Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?
1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.
2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?
3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.
4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.
5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..
6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu ibariki Tanzania..
Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
Na yale ya hapa kazi tu, mara mzalendo, mara Rais wa wanyonge, mara ni msikivu! Yale unajenga uwanja wa ndege kbs!!Nilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.
Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..
Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?
1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.
2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?
3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.
4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.
5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..
6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu ibariki Tanzania..
Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
Mama angeondoa hii mizigo angekua ameifanyia Tanzania makubwa Sana. Hata hangehitaji mabango.DahView attachment 2588752
Usikute hili wazo lilikuwa engeneered na Nape
AseeMama angeondoa hii mizigo angekua ameifanyia Tanzania makubwa Sana. Hata hangehitaji mabango.
WAJANJA WANAOYAANDAA HAYO MABANGO WANAPIGA PESA KISAWA SAWA TANZANIA SHAMBA LA BIBI NIKUPIGA PESA KAMA KICHAANilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.
Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..
Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?
1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.
2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?
3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.
4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.
5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..
6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu ibariki Tanzania..
Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]
Kwa kweli ukisoma haya mabango utadhani anaye zungumzwa kwenye mabangi ni Rais wa Sweden, Kumbe hapa hapa bongo..[emoji23][emoji4]Naona hata nae saa nyingine akipita akiyasoma anabaki "anashanga". Maana anajua fika yanayosemwa hayapo. Ni janja tu ya watu waendelee kumghilibu ili wapige hela.
Kitengo cha watu hicho cha kupiga hela. Hadi mama amalize watakuwa matirionea. Na wanafanya kila pointi na kila mkoa. Hawaruki space.
Inatumika nguvu kubwa kumnadi wakati huohuo inatumika nguvu kubwa kupita kiasi kumdis hayati Magufuli,hapo chachaNilidhani ni Dar tuu, nimezunguka karibia mikoa yote, ni Mabango tuu ya Picha za Mama.
Kwa jinsi gharama zilivyo kuprint na kukodi space, nadhani gharama zake zinaweza jenga kituo cha afya maridadi kabisa..
Wengi wanauliza sababu ya kuweka mabango ni nini?
1.Je haaamini kwamba watanzania tunajua kazi ananzo fanya hadi atuwekee mabango.
2. Au ni kuwaambia wana ccm maendeleo yamefanyamika ili 2025 kusije tokea yasiyo tegemewa?
3. Au anajua hajafanya alivyo tarajia na anaona vingi havija fanyia, kwa hiyo walau maendeleo yaonekane kwenye mabango hata kama hayapo.
4. Serikali inafedha nyingi kiasi kwamba kero zote zimesha tatuliwa na kilicho baki ni kutumia fedha kwa jambo lolote.
5. Amegundua 2025 inaweza kuwa ngumu sana hasa ukizingatia mtangulizi wake alifanya mambo yakaonekana..
6. Labda anataka ampite jiwe kwa idadi kubwa ya maendeleo, maana kuna bango nimeona linasema mama kajenga vituo vya afya 1000, ambavyo hatujui vimejengwa wapi.. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu ibariki Tanzania..
Mawaziri wangu naona hili nalo mkalitazame kwa jicho la kipekee..[emoji4]