1,gharama kwa saa wengi wao wanatoza 100,000/- kwa saa moja, hivyo itategemea kwa siku limefanyakazi kwa masaa mangapi.
2, diesel kwa wastan ni lita 160-200 kwa masaa nane lakini pia itategemea ugumu wa hiyo kazi na ulaji wa mafuta wa chombo chenyewe au dereva
3, operator utamlipa 50k kwa wastani kwa siku/saa 8
4,gharama za kulichukua na kulirudisha ni zako hivyo mtaelewana na mwenye chombo/kampuni na inategemea na mahala unapolitoa na kulipeleka.