Dola 1000 sawa na milioni mbili unaletewa certificate popote ulipo.Ndugu wapendwa naomba msaada ili nipate kujua gharama halisi ya kusajili Kampuni huko BRELA mpaka nipate certificate zote itakuwa Kama Tsh ngapi?
Gharama halisi za BRELA mpaka kupata CertificateNdugu wapendwa naomba msaada ili nipate kujua gharama halisi ya kusajili Kampuni huko BRELA mpaka nipate certificate zote itakuwa Kama Tsh ngapi?
Ameuliza gharama mpaka kupata Certificate na hakusema anataka kusajili Kampuni, na unaposema njoo nikusajilie kwa Tshs 250,000 ikiwa mtu hajua gharama zingine utakuwa unakosea hizo Tshs 250,000 ni za kwako ukija kumwambia gharama za BRELA alipie tena atakuelewa kwaiyo unapaswa umfahamishe gharama za pande zote mbiliMkuu Njoo nikusajilie kampuni kwa Tsh 250,000/= tu ndani ya dakika 15 fika ofisini Posta au piga 0712 450 136 au tuma sms