Ghana's President Sacks Communications Director for Speech Plagiarism

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,280
Apparently the Director of Communication cut and paste word to word from President George Bush's inauguration speech.
 
Ndo matatizo ya kusoma kila unachoandikiwa bila kukifanyia utafiti kidogo.

Siku hizi kuna ma software ya kubaini plagiarism. Ni kiasi cha ku copy na ku paste na ku click tu, basi.

Sasa yeye hata hilo alishindwa kufanya?

Jinga kabisa.
 
Ndo matatizo ya kusoma kila unachoandikiwa bila kukifanyia utafiti kidogo.

Siku hizi kuna ma software ya kubaini plagiarism. Ni kiasi cha ku copy na ku paste na ku click tu, basi.

Sasa yeye hata hilo alishindwa kufanya?

Jinga kabisa.

Si kweli,hakuna makosa yeyote ktk ile hotuba na tunatakiwa kujifunza na kosoma kabla ya kusema jambo,
Tujaribu kufuatilia na kusoma Law of Copyright inasemaje,kisheria ktk ile hotuba hakuna kosa lolote lile
 
Rais umeingia madarakani, hujui hata kuandaa hotuba yako mwenyewe?

Kazi ya afisa habari ilikuwa kurekebisha kidogo tu yale uliyaandaa.

Kuandikiwa Speech yote ukasome tu! Shame to him
 
Si kweli,hakuna makosa yeyote ktk ile hotuba na tunatakiwa kujifunza na kosoma kabla ya kusema jambo,
Tujaribu kufuatilia na kusoma Law of Copyright inasemaje,kisheria ktk ile hotuba hakuna kosa lolote lile

Kwani kinachozungumziwa kuhusu hiyo hotuba ni copyright infringement au plagiarism?
 
I don't see a problem here, a lot of public figures have used speeches that were once read by other public figures, including Melania Trump, and no one was sacked.
 
After international broadcasting cooperation highlighted the issues, president had to sack the director to save himself from embarrassment.
 
Kufukuzwa kazi haitoshi........kosa la kuchafua nchi kama hilo liambatane na adhabu.
 
Back
Top Bottom