Gesi mtwara

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
4,626
Reaction score
5,255
Ndugu wana JF,naomba mnisaidie kupata email adress za makampuni ya gesi huko mtwara
 
Mh kuingia kule ni kugumu sana hasa kama una ka-professional flani, sana sana uwe labor tu wa kawaida(machinery operator, mason,plumber,steel fixer na kozzi flani Grade A za veta)...yaani siasa ni nyingi tofauti na uhalisia, utazungukia ofisi zao na vyeti vyako utaambulia patupu, mwisho wa siku ukienda leba kujua kulikoni makampuni ya gesi yana ugumu kuiingia wanakuambia same kwamba Ma=pro wanakuja na helkopta jioni wanaondoka zao!!

Hembu jaribu hapa...kwa huyu mtu,yeye ni Power Plant Manager katika kampuni ya WentWorth Power Limited,
kimali.nkanda@wentworthresources.com
 
ok mkuu usijali saivi yameshakuwa yeboyebo na yanaajili kwa procedure za kawaida pia sio lazima kuwa ulisomea hicho unachoomba kwani wao ukiingia unakuwa kama trainee then siku zinavyoenda utamudu kazi, siku moja amua kujitusu utokee physically na cv yako kwenye maofisi yao(masaki). TITLE ya Barua vaccancy(yaani unaapply nafasi iliyowazi) kama umesomea engineering yeyote basi kwa kichwa cha habari hicho unaweza pata nafasi but kama we ni NGWINI bac hapo pana kazi mkuu watataka uwe na maexperience ya kutosha.
 

nachukua kaz hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…