NIPOSINGO
Member
- Jul 24, 2022
- 11
- 39
Tangu akiwa Msemaji wa Serikali, amekuwa cheap sana huyu jamaa.
Hivi sasa wizara aliyoko haina afisa habari au waziri? Naona ana-dominate yeye tu mitandaoni
Kwa nafasi yake ya Katibu Mkuu alipaswa awe mtendaji/mtaalamu/mwanataaluma zaidi wa wizara yake sio kutafuta cheap popularity kila uchwao.
Sasa ona mfano hapa anajibizana na Babalevo. Kweli hadhi ya Ukatibu Mkuu anaijua huyu? Chawa kama Babalevo anamkejeli KM atakavyo, huku Msigwa yeye akihisi ndio socialization
Statements nyingine anazotoa zilipaswa kutolewa na waziri mwenyewe lakini Msigwa yupo mstari wa mbele
Katibu Mkuu gani anajipost mara anakimbia na mijasho, mara anacheza mziki, mara analima shambani na bibi, yaani ni full comedy
Ni maoni yangu ashauriwe kubadilika mara moja.
Hivi sasa wizara aliyoko haina afisa habari au waziri? Naona ana-dominate yeye tu mitandaoni
Kwa nafasi yake ya Katibu Mkuu alipaswa awe mtendaji/mtaalamu/mwanataaluma zaidi wa wizara yake sio kutafuta cheap popularity kila uchwao.
Sasa ona mfano hapa anajibizana na Babalevo. Kweli hadhi ya Ukatibu Mkuu anaijua huyu? Chawa kama Babalevo anamkejeli KM atakavyo, huku Msigwa yeye akihisi ndio socialization
Statements nyingine anazotoa zilipaswa kutolewa na waziri mwenyewe lakini Msigwa yupo mstari wa mbele
Katibu Mkuu gani anajipost mara anakimbia na mijasho, mara anacheza mziki, mara analima shambani na bibi, yaani ni full comedy
Ni maoni yangu ashauriwe kubadilika mara moja.