MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,090
- 22,368
Punguza hasira wewe kahabaNitakuja nikufanye nyoko wewe!
Punguza hasira wewe kahabaNitakuja nikufanye nyoko wewe!
hiyo kitu itamsumbua sana. hadi uteuzi yeye bado anang'ang'ania kuutangaza kwenye page zake. na ujue watu wengi sura za kipindi cha jiwe hawazipendi hawapendi kuziona tena, zinakiumbusha machungu na unafiki mwingi.Unapoteuliwa ikaondoka ofisini nakukabidhi kuna vitu vya ofisi na personal vinapaswa kubadilika. Gerson Msigwa ameendelea kufanya kazi ya Zuhura Yunus mitandaoni kisha sasa ameongeza kazi ya katibu mkuu.
Anaweza akadhani mfumo unataka hivyo ila ukweli ni kwamba anaingilia majukumu ya watu. Makatibu wakuu sifa yao kuu nikujitenga na mitandao ya kijamii kwa kuamini wizara zina watu wameajiriwa kuhabarisha.
Mdogo wetu Msigwa anahitaji msaada kidogo...Zakuambiwa changanya na zako. Pls my young brother, nawiwa kukushauri usipost tena issues kwenye akaunti yako iliyosajiliwa as official accounts kwenye sacial media.
Ukitaka kufanya hivyo, usiwe wa kwanza na usiweke maneno yako. Zingatia
Hatuishi kwa Sheria tu. Kuna makatazo mengine huyakuti kwenye Sheria. Kuna Sheria, taratibu, miongozo na maadili.Umeshauri ujinga mtupu. Kuna tatizo gani Msigwa kupost taarifa kutoka serikalini kwenye page yake binafsi? Hiyo sifa ya makatibu wakuu kujitenga na mitandao ipo kwenye sheria gani? Acha wivu wa kishamba.
Yule Mporipori bado!Unapoteuliwa ikaondoka ofisini nakukabidhi kuna vitu vya ofisi na personal vinapaswa kubadilika. Gerson Msigwa ameendelea kufanya kazi ya Zuhura Yunus mitandaoni kisha sasa ameongeza kazi ya katibu mkuu.
Anaweza akadhani mfumo unataka hivyo ila ukweli ni kwamba anaingilia majukumu ya watu. Makatibu wakuu sifa yao kuu nikujitenga na mitandao ya kijamii kwa kuamini wizara zina watu wameajiriwa kuhabarisha.
Mdogo wetu Msigwa anahitaji msaada kidogo...Zakuambiwa changanya na zako. Pls my young brother, nawiwa kukushauri usipost tena issues kwenye akaunti yako iliyosajiliwa as official accounts kwenye sacial media.
Ukitaka kufanya hivyo, usiwe wa kwanza na usiweke maneno yako. Zingatia
Kwani yeye anaripoti au anaposti mitandandaoni?Na wewe unajidhalilisha! Huki kweli ni kuingilia majukumu yasiyomhusu! Safari ya Rais India inamuhusu nini Msigwa? Wanaopaswa kuripoti hiyo safari ni Zuhura na Matinyi! Asiingilie majukumu ya watu!
Sheikh kavaa bukta!Hatuishi kwa Sheria tu. Kuna makatazo mengine huyakuti kwenye Sheria. Kuna Sheria, taratibu, miongozo na maadili.
Unaonaje ukikutana na mchungaji au shehe kavaa bukta . Kwani imeandikwa asivae bukta? Hapana!! Ni maadili tu.
Kwaiyo unahakika makatibu wakuu wamekatazwa? Na je ushawahi kuwa katibu wa wizara yoyote ile?Hatuishi kwa Sheria tu. Kuna makatazo mengine huyakuti kwenye Sheria. Kuna Sheria, taratibu, miongozo na maadili.
Unaonaje ukikutana na mchungaji au shehe kavaa bukta . Kwani imeandikwa asivae bukta? Hapana!! Ni maadili tu.
Acha kunililia mimi. Hamia KenyaHatuishi kwa Sheria tu. Kuna makatazo mengine huyakuti kwenye Sheria. Kuna Sheria, taratibu, miongozo na maadili.
Unaonaje ukikutana na mchungaji au shehe kavaa bukta . Kwani imeandikwa asivae bukta? Hapana!! Ni maadili tu.
Hebu punguza mihemko ya kipumbavu... Msigwa ni msemaji wa serikali?, Anapata wapi mamlaka ya kuutarifu imma juu ya Mambo ya ikulu akiwa first hand informer?. Acheni kuwa viazi kubisha Mambo ya msingi.... Akae eneo alilopangiwa kwani hamuwezi kuushi bila uchawa?.Umeshauri ujinga mtupu. Kuna tatizo gani Msigwa kupost taarifa kutoka serikalini kwenye page yake binafsi? Hiyo sifa ya makatibu wakuu kujitenga na mitandao ipo kwenye sheria gani? Acha wivu wa kishamba.
hujamuelewa mleta mada. kashauri asiwe wa kwanza kupost, kujifanya wa kwanza kupost habari za serikali ni kiherehere na kuingilia majukumu ya wengine.Umeshauri ujinga mtupu. Kuna tatizo gani Msigwa kupost taarifa kutoka serikalini kwenye page yake binafsi?
Umempa vidonge haswaaUmeshauri ujinga mtupu. Kuna tatizo gani Msigwa kupost taarifa kutoka serikalini kwenye page yake binafsi? Hiyo sifa ya makatibu wakuu kujitenga na mitandao ipo kwenye sheria gani? Acha wivu wa kishamba.
Mkurugenzi wa mwanza kaipinga kauli ipi ya waziri mkuukama mkurugenzi mwanza anauwezo wakupinga kauli ya waziri mkuu hiyoo ya msigwa chamtoto.