Genge la Wanafiki wa CHADEMA

yuda ni yuda tu.. huwezi kumwita Petro..mchange.. punguza njaa.. 2010 si uliuza ww na 2015 umeuza tena? ndoroooobo we
 
Mchange amemtuma Kala Pina....

Huwezi kupata kura 1000 ukose msongo wa mawazo!
 
Wanasiasa wote wanafinki,waongo. . .sakane pesa achen kulia kulia humu

Tuzd ombea pombe afanye yake kutupa nyanja za usawa wa haki ktk kupata pesa
 
Zito alisema ana majina ya walioficha pesa uswisi wako wapi?
 
Hivi bado chadema wanajadiliwa tu?!!Anaepoteza muda kuwajadili,wehu,wahuni,wapumbafu,malofa,watoto nadhani amekosa chakufanya.cdm ni wakupuuzwa tu.
 
mchange sijaamini kama ungetumia nguvu zako ambazo tunazihitaji wapenda maendeleo kuwajibu haya majitu,hawa tuachie sisi tumalizane nao,watanzania wenye ubongo unaofanya kazi wanajua mlengo wa chadem ni nini,i hate this chagadema
 

ukapimwe akili
 
yuda ni yuda tu.. huwezi kumwita Petro..mchange.. punguza njaa.. 2010 si uliuza ww na 2015 umeuza tena? ndoroooobo we

yaani hapo ndio umejibu hoja yake.hahaha nchi hii ina viumbe wa ajabu kuliko sehem yeyote dunian
 
Mkuu anachokifanya magufuli sasa, amewafanya nyie wanasiasa muonekane kuwa watu wa ovyo na wakudandiadandia vitu.

Aseme wakati anamsifia hivyo wizi ulikuwa haupo pale bandarini.

Simama kwa mikuu yako usiishi kwa kutetea vitu usivyovielewa kiundani.
Nani amekuambia zito alikuwa anajua au hajui.
 
Huyu jamaa...sijui anapata wap ujasiri wakuandika haya wakati alipata kura buku tatu ...tu.....ingekuwa mm wala nisingetoka ndan

Kura 3000 nyingi sana ana haki ya kutembea mtaani! hukumbuki Mrema na bado yupo kitaa!
 
Chadema nimeshasemaga NI WANAFIKI, BAVICHwa maji nao wamerogwa kabisa, vichwani ni vacuum kabisa!
 
machange IPO siku utakuja kumshambulia zito hapa hapa wasaliti kusalitiana ni kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…