Gen. Ndomba amrithi Shimbo

Status
Not open for further replies.
Hongera gen.shimbo,hongera jk kwa uteuzi mpya.matarajio yetu ni utendaji uliotukuka
 
Hongera yake, huyu Samuel Ndomba alishawahi kuwa mkuu wangu wa wilaya. Na sasa mtoto wake Allan ni mwanasheria wetu dah!
 
Hongera Makamanda, Shimbe kugombania Ubunge 2015 jimbo la majeshi
 

kama tunakiri kuwa wakuu wa wilaya wanafanya kazi za ccm, Ndomba alishawahi kuwa mkuu wa wilaya
 
Shimbo hahitaji tuzo au pensheni kama kuna ukweli kwamba alipeleka matrilioni ya shilingi huko Afrika Kusini. Anaweza tu kwenda Uswisi na kuanza kutumia akiba yake.

Hivi tumepata kuarifiwa alizipata pataje hizo fedha? Ni kutokana na kuagiza zana feki za vita?
 
Shimbo lazima atagombea udiwani kupitia thithimwewe!!!!
 
Kuna dalili uko upareni mtu atakuwa kijiweni baada ya 2015
 
Kinachonishangaza siku hizi ni kwamba ili uje kuwa General na Luteni General lazima upitie na kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwanza. Mwamunyange, Shimbo na sasa Ndomba wote wamepita huko. Na kama sijakosea hata kina George Waitara nao walitokea JWTZ then JKT kabla ya kuwa Full General.

Sijui ndiyo formula au vipi!

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),

tumbiri@jamiiforums.com
 
Kwani kupewa hvyo vyeo
mpaka wapandishwe kuwa sijui ma luten, na kama ni hivyo kwani hakuna
waliofikia huo u luten wapewe hizo nyazifa? naomba kujuzwa
bandugu

ndo hivo!mnadhimu mkuu kwa ukubwa wa jeshi letu lazima awe luteni kanali na ni mmoja tu nchi nzima,kwa hiyo lazima apandishwe na niyeye pekee mwenye cheo hicho!Nampongeza sana!
 
Sasa ni wakati muhafaka wa kudeal na huyu shetani Shimbo, hivi Tanzania hatuna sheria ya kufanya upelelezi binafsi na kumfungulia mtu mashtaka binafsi? huyu Shimbo amedhulumu sana ndugu zetu pesa za UN.
 
I hope hataingiza siasa jesheni kama alivyofanya Shimbo. Muda utaamua.

False Hopes.. So do u expect him to against na aliemteua??? These things never happen out of nowhere NOT in my beloved country Tanzania, Am sure keshapewa List ya Do's & Donts.........
 
Ni rafiki mkubwa wa JK sababu ya utendaji wake na msimamo wake!!alishapendekezwa hapo nyuma kumrithi Dr Hosea pale Takukuru!iliposhindikana akapewa utumishi jeshini,baadae akaenda JKT,,,ni mchapakazi sana na hodari!Hongera JK kwa hilo!

Ni spy aliyebobea pia....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…