USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Gen. Mstafu Mathew Sukambi ametutoka na kutuachia simanzi kubwa baada ya kuugua muda mfupi.
Nilimfahamu kama mchapa kazi, mtu wa watu sana na mkarimu. Alipenda kunishauri kama mwanaye na nilimsikikiza kwa makini na kumtii zaidi ya kiongozi wangu tangu tukiwa 23KJ Biharamulo yeye akiwa CO mwenye cheo cha Kanali mpaka anakuwa Mkuu wa Chuo cha Monduli na baadaye Brigedia wa Brigedi ya Faru mkoani Tabora, akimpisha Gen. Mwakibolwa alikwenda Congo kuwakimbiza M23.
R.I.P Gen. MM Sukambi
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimfahamu kama mchapa kazi, mtu wa watu sana na mkarimu. Alipenda kunishauri kama mwanaye na nilimsikikiza kwa makini na kumtii zaidi ya kiongozi wangu tangu tukiwa 23KJ Biharamulo yeye akiwa CO mwenye cheo cha Kanali mpaka anakuwa Mkuu wa Chuo cha Monduli na baadaye Brigedia wa Brigedi ya Faru mkoani Tabora, akimpisha Gen. Mwakibolwa alikwenda Congo kuwakimbiza M23.
R.I.P Gen. MM Sukambi
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app