Geita: Waziri Mkuu Majaliwa, afungua Ofisi za TRA Chato


Una akili za kibashite, sijui unaendesja vp familia yako
 
Yaani Ofisi ya TRA Chato ni nzuri, kubwa na ya kisasa kuliko ofisi ya TRA Geita ambapo ndipo makao makuu ya Mkoa na makusanyo yake ni makubwa zaidi.

Wajinga ndio waliowaoa, ajabu mtu huyu huyu alikuwa anabinga ujenzi Wa Bandari ya Bagamoyo.



Ubinafsi tuuu!
 

mmmmmmnnnnnhhhhhhhhhhhhhhhhhh wewe una kengeza,kuwa kama msukuma halisi wa chato,sema umefaidika nini na hio airport?,budget yetu ni ndogo,and we take a big chunk kwa ujinga tu,lazima tuangalie priorities,
 
Trillion 20 sawa na 70 ya bajeti na bajeti imetekelezwa kwa 30%???? Mwenye akili atafakari
 

"Ndege atapanda nani"?
Watapanda Watu wakiwemo na WanaChato!
 
Eti hilo jengo ni sawa na hostel moja na nusu za pale University of Dar es salaam
 
Akina Msuya, Mrema, Sumaye, etc. walitengeneza lami mpaka vijijini migombani huko, walisambaza umeme wa uhakika mpaka vichochoroni wakati huohuo mikoa mingine ilikuwa haifikiki kutokana na barabara mbovu, umeme na maji shida. Ilifikia kipindi wakademand kujengewa mpaka International Airport (KIA). Lakini leo amepatikana kiongozi anayejitahidi kuendeleza maeneo mengine (including eneo lake) ambayo yapo nyuma sana kimaendeleo wanamuona mbaya. How selfish are they.
 
Upo sawa mno mkuu maana watu kuna watu wanapinga na kubisha kwa kila jambo pasipo kuwa na hoja za msingi tunachotaka ni maendeleo popote panapoendelezwa kuna fursa zinajitokeza
 
Atukumbuke na huku Tanga ofisi za tra Jiji zinatia aibu ukiiangalia kama uchochoro pale mkwakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…