Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,675
- 37,856
Kwenu wana gea n dina polen na shuguli za kila siku athough zingine mnawachoma watu live..jamani kuna huyu mama aliletwa na mumewe kutoka huko kwao akwa anasemwa azai azai mzee akaona huyu ndie mzuri wa dar gafula mama kimetinga baada ya miaka kadhaa mzee kakimbia kisa anadai mama tangu apate ujauzito akimwomba amkatikie akatiki ajinyonge kama zamani anyongi mzee kala kona...wana shari hawa wameamua kulipa fadhila kwa kumrudisha mama wa watu....ukiwa kama msamaria na mwenye uchungu hii si story tunaomba changia kwenda clouds fm waone hawa ma binti gea ama dina kwa maelezo zaidi..natumaini michango itafika although mkiagana mnatangaza mtanda jirusha sehemu fulan mie pale mwenzenu ndio nawaza 20 yangu lakini nawamini best