M mwanafyale JF-Expert Member Joined Sep 27, 2010 Posts 1,641 Reaction score 539 Apr 18, 2014 #41 jme said: mkuu mbona wapo sahii bila ukawa hakuna maamuzi kwa mujibu wa sheria maana sheria inaelekeza ni wajumbe wote wa pande mbili za muungano Click to expand... Acheni ujuha, kwani waliobaki bungeni sio wa pande zote za muungano? CCM peke yao wako wa Zanzibar na Bara, hizo sio pande mbili za muungano?
jme said: mkuu mbona wapo sahii bila ukawa hakuna maamuzi kwa mujibu wa sheria maana sheria inaelekeza ni wajumbe wote wa pande mbili za muungano Click to expand... Acheni ujuha, kwani waliobaki bungeni sio wa pande zote za muungano? CCM peke yao wako wa Zanzibar na Bara, hizo sio pande mbili za muungano?
kivyako JF-Expert Member Joined Feb 2, 2012 Posts 14,342 Reaction score 12,066 Apr 18, 2014 #42 Halaiser said: Soma sentensi yako ya mwisho. Mtaacha lini ubaguzi? Dhambi hiyo kamwe haitaacha kuwatafuna milele. Click to expand... Anathibitisha kuwa ni INTARAHAMWE!
Halaiser said: Soma sentensi yako ya mwisho. Mtaacha lini ubaguzi? Dhambi hiyo kamwe haitaacha kuwatafuna milele. Click to expand... Anathibitisha kuwa ni INTARAHAMWE!
Boniphace Bembele Ng'wita JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 3,587 Reaction score 2,020 Apr 18, 2014 #43 mjepo said: Mkuu kwani hujui kuwa mwananchi linatumiwa siku hizi na wanasiasa? Click to expand... Mkuu kama umevurungwa vile..
mjepo said: Mkuu kwani hujui kuwa mwananchi linatumiwa siku hizi na wanasiasa? Click to expand... Mkuu kama umevurungwa vile..
N Nnko Member Joined Aug 26, 2009 Posts 97 Reaction score 20 Apr 19, 2014 #44 mbona hujatuambia ukawa kutoka zanzibar na CCM wa Zanzibar uwiano wao? pili kwa mtazamo wako unafikiri CCM inaweza kutengeneza katiba bila upinzani kuwepo? ulisoma hadi darasa la ngapi?nakushangaa!!!
mbona hujatuambia ukawa kutoka zanzibar na CCM wa Zanzibar uwiano wao? pili kwa mtazamo wako unafikiri CCM inaweza kutengeneza katiba bila upinzani kuwepo? ulisoma hadi darasa la ngapi?nakushangaa!!!