kessy kyomo
Member
- Feb 1, 2011
- 72
- 11
Ndugu waheshimiwa sana leo asubuhi nimepitia habari ya mbele kwenye kurasa la gazeti la tazama likiwa limeandikwa hivi Chadema yajibu mapigo ya cuf halafu ukiisoma habari yenyewe ni tofauti na kichwa cha habari kwanza wameweka picha hapo frontline ambazo si za kweli, mwandishi kajitahidi kuiponda sana chadema kuliko kichwa cha habari knavyosema sijui huu ni huandishi gani wa habari,pili ukiangalia kurasa zote mwanzo mpaka mwisho ukitoa kurasa za michezo gazeti hili kila toleo kazi yake ni kubadilisha uwongo kuwa ukweli kwa chama cha chadema yaani bila kuandika habari za chadema nadhani gazeti huwa halijisikii raha yaan kuna full maigizo waandishi wa habari makanjanja wapo kwenye hili gazeti ndugu wadau naomba msaada hili kuweza kumjua mmiliki wa gazeti hili lisije likawa la mafisadi kweli?