Gazeti la Mzalendo na Zitto???

Gazeti la Mzalendo na Zitto???

inakuwaje leo mnaliamini gazeti la magamba mojakwamoja? zitto alitamka wapi hayo?
 
kikwete mjanja sana,alimstukia dogo njaa,akamteua kamati ya madini na akawaambia wabunge wa ccm waahakikishe wanamchagua mwenyekiti wa pac/poac...kazi iliishia hapo,anajitutumua asionekane ni kibaraka wa ccm lakini kikwete aachi kumkumbusha kama gazeti la ccm lilivyomkumbusha leo...kama ana ubavu awashitaki mzalendo/lumumba.
 
inakuwaje leo mnaliamini gazeti la magamba mojakwamoja? zitto alitamka wapi hayo?

zitto na magamba ni baba mmoja mama mmoja,kama ana ubavu akalishitaki...wanazo tapes zake za usaliti huyo na wamemshika
 
Back
Top Bottom