Dah, kwahiyo zitto kabwe anajigamba yeye ndio kiboko ya wapinzani?kwahiyo adui yake yeye sio ccm? Kweli ccm wanajua namna ya kumtumia pandikizi lao
mimi sikujua kama yeye ndio kiboko ya wapinzani
kila mtu atavuna alichopanda
Hivi hiyo ndo ilikuwa maana ya gazeti au wewe mtoa post umeamua kuandika unavyotaka wewe,... Mabavicha hovyo kweli kweli
Kwa hiyo na Wew unakubaliana na hicho kipeperushi
taarifa hii unaweza kuitafasir kwa namna ya unachokifikiria; km ukiwa na positive attitude na upinzan utaelewa kuwa yeye ndiye kinara wa upinzan nchin kwan imethibitishwa na wasomi wa udsm. kwa upande mwingine km unachuki binafsi na muhusika utasema kuwa yeye anapambana na upinzan bado taarfa hii inakupa mwanya wakuliona hivo