sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Wanaaanza..
"MASHABIKI wa Yanga wamepaniki baada ya kuona watani zao Simba wakianza Ligi Kuu ya Bara kwa ushindi mnono na kukaa kileleni, ghafla wakatafuta nafasi ya kuwaharibia lakini kabla mpango wao haujatiki wakajikuta wakiaibika.
Wanaendelea..
" Unajua ni nini? Kama umepita katika mitandao ya kijamii gumzo kubwa ni utata wa kadi nyekundu ya mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib, lakini TFF likatoa ufafanuzi likisema hakuna longolongo pointi tatu ni za Simba zipo freshi na haina haja ya kusoza..
Awali, mashabiki wa Yanga na wadau wengine wa soka walikuwa wakihoji uhalali wa Ajib kucheza mchezo huo ambao, alitolewa kipindi cha pili kumpisha Federick Blagnon"
Wanamaliza..
" Kauli hiyo ni kama imewanyong’onyesha wanazi wa Jangwani ambao walivimba shingo wakikomalia kwamba, Ajib hakustahili kucheza mchezo huo na ni lazima Msimbazi waziteme pointi zao tatu walizopata kwa Ndanda."
Source: Acheni unaa wenu, Simba ndo hivyo
"MASHABIKI wa Yanga wamepaniki baada ya kuona watani zao Simba wakianza Ligi Kuu ya Bara kwa ushindi mnono na kukaa kileleni, ghafla wakatafuta nafasi ya kuwaharibia lakini kabla mpango wao haujatiki wakajikuta wakiaibika.
Wanaendelea..
" Unajua ni nini? Kama umepita katika mitandao ya kijamii gumzo kubwa ni utata wa kadi nyekundu ya mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib, lakini TFF likatoa ufafanuzi likisema hakuna longolongo pointi tatu ni za Simba zipo freshi na haina haja ya kusoza..
Awali, mashabiki wa Yanga na wadau wengine wa soka walikuwa wakihoji uhalali wa Ajib kucheza mchezo huo ambao, alitolewa kipindi cha pili kumpisha Federick Blagnon"
Wanamaliza..
" Kauli hiyo ni kama imewanyong’onyesha wanazi wa Jangwani ambao walivimba shingo wakikomalia kwamba, Ajib hakustahili kucheza mchezo huo na ni lazima Msimbazi waziteme pointi zao tatu walizopata kwa Ndanda."
Source: Acheni unaa wenu, Simba ndo hivyo