Ile hali ya magazeti yetu tuliyoyategemea kuwa na balanced info sasa yanaonesha kuyumba na kuelekea kupoteza weledi, nahau Lakini machache ni
1. Mwananchi imelaumiwa sana na serikali na hasa chama tawala ccm kuegemea upinzani na kukosa uzalendo, hivyo nahisi wametishika na kunywea.
2. Tetesi za hisa nyingi kununuliwa na matajiri wenye kudetermine nini kiandikwe hata Kama hakiuziki si nini kinamanufaa kwa jamii.
3. Kukosa wataalamu katika room news zao, mfano kichwa cha habari Kama hiki "slaa amkwepa jk msibani" Sina Tatizo na habari yenyewe Lakini je ni kweli? Je katika uzoefu wa miaka kadhaa ya uandishi hawajui kweli protocol ya VIP's? Je wameamua kutojadiliana Kama ambavyo mhariri amewahi kutuhabarisha namna wanavyoweka mjadala wa vichwa vya habari kuu kati yao editors, sasa je hili nalo walijadiliana lanka ya kuliandika?
4. Wametishwa na kesi ya uchochezi walisukumiwa so wameona kuliko kupoteza biashara bongo bora wawafurahishe watu fulani.
5. Bora kununua gazeti la uhuru ukijua wasaka za ccm, fauna za cdm, majira? Mwanachi je za NANI?
Kwa uchache, thinkers tujuzeni na kutushauri tulipige chini au vip.
1. Mwananchi imelaumiwa sana na serikali na hasa chama tawala ccm kuegemea upinzani na kukosa uzalendo, hivyo nahisi wametishika na kunywea.
2. Tetesi za hisa nyingi kununuliwa na matajiri wenye kudetermine nini kiandikwe hata Kama hakiuziki si nini kinamanufaa kwa jamii.
3. Kukosa wataalamu katika room news zao, mfano kichwa cha habari Kama hiki "slaa amkwepa jk msibani" Sina Tatizo na habari yenyewe Lakini je ni kweli? Je katika uzoefu wa miaka kadhaa ya uandishi hawajui kweli protocol ya VIP's? Je wameamua kutojadiliana Kama ambavyo mhariri amewahi kutuhabarisha namna wanavyoweka mjadala wa vichwa vya habari kuu kati yao editors, sasa je hili nalo walijadiliana lanka ya kuliandika?
4. Wametishwa na kesi ya uchochezi walisukumiwa so wameona kuliko kupoteza biashara bongo bora wawafurahishe watu fulani.
5. Bora kununua gazeti la uhuru ukijua wasaka za ccm, fauna za cdm, majira? Mwanachi je za NANI?
Kwa uchache, thinkers tujuzeni na kutushauri tulipige chini au vip.